Hii sikuku enzi zetu iliheshimika sana sawa na sikukuu za kidini. Misosi ilipikwa na kuliwa, viwanja maalumu vilitengwa maalumu kwa kusherekea sikukuu hii, huko viwanjani sherehe zilifanyika na kuhutubiwa na viongozi wa chama na serikali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.