Heri ya Sikukuu ya Sabasaba

Heri ya Sikukuu ya Sabasaba

Joined
Mar 27, 2025
Posts
33
Reaction score
45
Heri ya Sikukuu ya Sabasaba

70147447-e19b-4d5a-9240-c2e57aecbc2b.jpeg
 
Hii sikuku enzi zetu iliheshimika sana sawa na sikukuu za kidini. Misosi ilipikwa na kuliwa, viwanja maalumu vilitengwa maalumu kwa kusherekea sikukuu hii, huko viwanjani sherehe zilifanyika na kuhutubiwa na viongozi wa chama na serikali
 
Saba saba ilikuwa zamani syo sahivi

Ova
 
Back
Top Bottom