Heri ya Sikukuu ya Christmas 🎄 na Mwaka mpya

Heri ya Sikukuu ya Christmas 🎄 na Mwaka mpya

Kahama- shy

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
2,064
Reaction score
2,927
‎Heri ya Sikukuu ya Christmas na Mwaka mpya ndugu zangu tunashukuru kama tumefika hapa basi tuzidi kushukuru pia najua wengine mnajianda kwa kwenda mkesha kanisani! ni vizuri wengine tutaenda kesho Asubuhi napo pia ni siku?

‎Ndugu zangu nilikuwa nimekuja kama ndugu yenu mdogo wenu ata naweza nikawa mtoto wenu plz ndugu zangu nilikuwa naomba japo sh 15000 tu ata namimi nikaemehe ata namimi nimekwama kifedha ndugu sisi wa vibarua ni changamoto sana hasa hizi siku matajiri wameondoka fundi anakupa story tu nawe unaridhika naomba msaada wenu MWENYEZI MUNGU AWABARIKI 0674615883🙏


 
Nawe pia, hiyo biashara ya kuomba omba pesa ipo Tanzania tu, mtu ana nguvu lakini anaomba pesa
 
Kama ndugu na jamaa wanaokuzunguka wameshindwa/kataa kukusaidia basi jitafakari ili 2026 ujirerekebishe uishi vyema na jamii yako.
Wengi wa huku mitandaoni wataishia kukuita TAPELI bila kukupa msaada wowote.
 
depositphotos_208680934-stock-video-video-greeting-merry-christmas-happy.jpg
 
Nawe pia, hiyo biashara ya kuomba omba pesa ipo Tanzania tu, mtu ana nguvu lakini anaomba pesa
Lakini mkuu nimesema tulikuwa na kazi mabosi wameondoka kula sikukuu fundi anakupa story Sasa wewe utafanyaje?
 
Wadau heri ya Sikukuu ya Christmas mnikaribishe basi huko makwenu nije
 
Back
Top Bottom