nosocomial
JF-Expert Member
- Dec 6, 2013
- 404
- 45
Wakristo leo tunaungana na wenzetu duniani kote kukumhuka mateso aliyopitia bwana Yesu kristo pale msalabani, kwa ajili ya ukombozi wa wanadamu.
Tukiwa na roho ya upole ila yenye ujasiri wa kweli tuelekee katika sikukuu hii kwa furaha kubwa pasipo uvunjifu wa amani kwani yesu hakutuachia roho ya ukatili bali tujaliane heri na kusaidiana mizigo.
Tukumbuke ya kuwa duniani tunapita lakini hatuko wenyewe hivyo kumbuka hasara utakayopata kama mtu binafsi haina impact kubwa sana kwako bali kwa wale wanaokutegemea kesho uwatunze na kuwaonyesha njia.
Amani ya bwana itutangulie, roho mungu atuangazie huko tupitapo.
AMEEEN
Tukiwa na roho ya upole ila yenye ujasiri wa kweli tuelekee katika sikukuu hii kwa furaha kubwa pasipo uvunjifu wa amani kwani yesu hakutuachia roho ya ukatili bali tujaliane heri na kusaidiana mizigo.
Tukumbuke ya kuwa duniani tunapita lakini hatuko wenyewe hivyo kumbuka hasara utakayopata kama mtu binafsi haina impact kubwa sana kwako bali kwa wale wanaokutegemea kesho uwatunze na kuwaonyesha njia.
Amani ya bwana itutangulie, roho mungu atuangazie huko tupitapo.
AMEEEN