Kuna mtu aliwahi sema huku JF kuwa watu waliozaliwa miezi inayokaribia mwisho wa mwaka ni vilaza, akaenda mbele zaidi kwamba Mbaya zaidi ukute wamezaliwa mwisho wa siku kuanzia jioni mpaka midnight! I hope huwezi kukubaliana na uchunguzi wao!thank you honey... happy birthday to me