Ujinga nikumpamba mjinga kwa ujinga kudhania wote tu wajinga kwa ujinga wa mleta mada na upumbavu wa anayesifiwa kwasababu nimjinga kwa vyeti feki, mjinga kwa program zakijinga... Tokomeza dada powa, tokomeza wanamuziki, ujinga wakuvamia wanahabari, ujinga wakujikweza kama Mungu, ujinga wakujiona zaidi ya pm ujinga wakudhani yeye ni bora bila vyeti ila wengine hapana.
Very silly post.