Here comes Daudi Albert Bashite

Hahahahah unafedheheka brethren haka kalugha kakikafri nadhan kamekuchanganya kidogo soma kwa kwa sauti labda utaelewa
 
Wache wajitese siwaonei huruma we watu ashite aawadharilisha na kuwatoa utu bado wanarudia let them fucked up
 
Nashanga kipofu anaona makosa ya lugha lakini makosa ya Bashite and Co mnajifanya eti hamuoni.Kumbe mmezoe kupiga chabo mnacopy hadi namba ya mtihani oneni sasa mnavyojificha jua kwenye vivuli vyenu wenyewe
Mnajifanya mnajua sana Kiingereza ili kuficha ukilaza wenu, ha ha ha. Malofa wakubwa nyie.
 
Eti hili jiji langu siwataki dada poa nk

Mwehu nini hao wanauza masaa yote ninani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…