Henry Shekifu, jirekebishe

Henry Shekifu, jirekebishe

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,150
Reaction score
162,561
Huyu mh.kila anaposimama bungeni huwa napati shida sana kumsikiliza kwani mara kwa mara amejigeuza kuwa mtetezi wa serikali na si mtetezi wa wananchi waliomchagua.

Mheshimiwa, wewe kama mbunge, kazi yako kubwa ni kuisimamia na kuishauri serikali na si kila wakati kuponda hoja za wenzanko, hasa wapinzani,wanapoikosoa serikali.

Imefika hatu kila unaposimama bungeni binafsi huwa natamani hata kubadili channel kwani huwa sivutiwi kabisa na michango yako mingi ndani ya bunge.

Waheshimiwa,igeni mifano ya wabunge kama Mnyika,Bulaya,Mdee,Filikunjombe,Mbowe, Kangi Lugulo na wengine wachache kwa kujenga hoja za msingi na kusimamia maslahi ya wananchi ndani ya bunge.

Pamoja na wote hao niliowataja;naomba niseme tu,kwa mtazamo wangu;mbunge ambae ni the best na wakuigwa katika utungaji wa sheria hasa katika upitishaji wa vifungu, ni mh John Mnyika.

Huyu ni kijana mdogo tu lakini kwakweli huwa analeta marekebisho ya msingi sana japo huwa hayaungwi mkono na wengi.

Waheshimiwa, tuteendeeni haki sisi wananchi muwapo humo bungeni.
 
Last edited by a moderator:
Muda ushafika tutawapembua na itajulikana walochagua kutetea wananch na Wanao wasaidia mawaziri Kuitetea serikal only time will tell
 
HUYU NI mpuuzi mwingine ndani ya CCM, anadhani ni RC kumbe ilikuwa, hana la maana ni mpiga dili na waliomchagua shauri yao, acha awakomeshe ili wafanye mabadiliko come october 2015
 
Kwa vita vya wahujumu uchumi aliwekwa ndani isanga dodoma miezi 6 kwa kuhujumu shirika la rtc dodoma
 
Jamaaa Jinga sana linataka uwaziri na jk anaweza kulipa si ndo anapenda watu wanaofikiri kwa makalio
 
Huyu mh.kila anaposimama bungeni huwa napati shida sana kumsikiliza kwani mara kwa mara amejigeuza kuwa mtetezi wa serikali na si mtetezi wa wananchi waliomchagua.

Mheshimiwa, wewe kama mbunge, kazi yako kubwa ni kuisimamia na kuishauri serikali na si kila wakati kuponda hoja za wenzanko, hasa wapinzani,wanapoikosoa serikali.

Imefika hatu kila unaposimama bungeni binafsi huwa natamani hata kubadili channel kwani huwa sivutiwi kabisa na michango yako mingi ndani ya bunge.

Waheshimiwa,igeni mifano ya wabunge kama Mnyika,Bulaya,Mdee,Filikunjombe,Mbowe na Kangi Lugulo na wengine wachache kwa kujenga hoja za msingi na kusimamia maslahi ya wananchi ndani ya bunge.

Pamoja na wote hao niliowataja;naomba niseme tu,kwa mtazamo wangu;mbunge ambae ni the best na wakuigwa katika utungaji wa sheria hasa katika upitishaji wa vifungu, ni mh John Mnyika.

Huyu ni kijana mdogo tu lakini kwakweli huwa analeta marekebisho ya msingi sana japo huwa hayaungwi mkono na wengi.

Waheshimiwa, tuteendeeni haki sisi wananchi muwapo humo bungeni.

Mkuu, siyo Lissu ni Mnyika tena? Mimi naamini Lissu ni mzuri kwenye eneo hilo ila tatizo lake ni jazba. Mnyika hana jazba kama Lissu. Pia juzi nimemshuhudia Mkosamali naye akitoa vitu mwanana kwenye tasnia ya sheria.
 
Kwa vita vya wahujumu uchumi aliwekwa ndani isanga dodoma miezi 6 kwa kuhujumu shirika la rtc dodoma
Pia alifilisi shirika la Madawa la Taifa lilikuwa chini ya wizara ya biashara na viwanda baada ya kutoka RTC,naye ni mwizi mkubwa.
 
Kwakweli siondoki kwa TV akichangia Mnyika,Sirinde,Lisu,Machari,Mkosamali na Lugola
 
Wewe mshabiki wa chadema tutegemee uitakie mema ccm acha ulofa


Suala hapa siyo chama ila utaifa zaidi.

Mleta mada kawasifia kina Kangi Lugola na Ester Bulaya, hao nao ni wa CHADEMA?

Usiongee tu kwa kuwa una mdomo na usiandike tu kwa vile unajua kuandika.....think big.
 
Jamaaa Jinga sana linataka uwaziri na jk anaweza kulipa si ndo anapenda watu wanaofikiri kwa makalio

Hili la uwaziri hata mimi huwa nahisi huenda ndio sababu lakini sijui haoni kuwa muda wa JK sasa umeisha?!
 
Mkuu, siyo Lissu ni Mnyika tena? Mimi naamini Lissu ni mzuri kwenye eneo hilo ila tatizo lake ni jazba. Mnyika hana jazba kama Lissu. Pia juzi nimemshuhudia Mkosamali naye akitoa vitu mwanana kwenye tasnia ya sheria.
Mkuu ni kweli Lissu yuko vizuri,lakini Mnyika,kwa mtazamo wangu,huwa analeta amendment ambazo naweza kuziita ni zenye mashiko sana.

He is doing job but Makinda na wabunge wengi wa CCM ndio hukwamisha marekebisho yake mpaka jaana akafikia hatua ya kusema "it si pathetic" kuwa na bunge la aina hii.
 
Huyu mh.kila anaposimama bungeni huwa napati shida sana kumsikiliza kwani mara kwa mara amejigeuza kuwa mtetezi wa serikali na si mtetezi wa wananchi waliomchagua.

Mheshimiwa, wewe kama mbunge, kazi yako kubwa ni kuisimamia na kuishauri serikali na si kila wakati kuponda hoja za wenzanko, hasa wapinzani,wanapoikosoa serikali.

Imefika hatu kila unaposimama bungeni binafsi huwa natamani hata kubadili channel kwani huwa sivutiwi kabisa na michango yako mingi ndani ya bunge.

Waheshimiwa,igeni mifano ya wabunge kama Mnyika,Bulaya,Mdee,Filikunjombe,Mbowe na Kangi Lugulo na wengine wachache kwa kujenga hoja za msingi na kusimamia maslahi ya wananchi ndani ya bunge.

Pamoja na wote hao niliowataja;naomba niseme tu,kwa mtazamo wangu;mbunge ambae ni the best na wakuigwa katika utungaji wa sheria hasa katika upitishaji wa vifungu, ni mh John Mnyika.

Huyu ni kijana mdogo tu lakini kwakweli huwa analeta marekebisho ya msingi sana japo huwa hayaungwi mkono na wengi.

Waheshimiwa, tuteendeeni haki sisi wananchi muwapo humo bungeni.

Naomba nikuunge mkono kwa Mnyika. Kwangu mimi ni mbunge bora kabisa unapozungumzia jukumu la bunge la utungaji wa sheria.
 
Last edited by a moderator:
Huyu mh.kila anaposimama bungeni huwa napati shida sana kumsikiliza kwani mara kwa mara amejigeuza kuwa mtetezi wa serikali na si mtetezi wa wananchi waliomchagua.

Mheshimiwa, wewe kama mbunge, kazi yako kubwa ni kuisimamia na kuishauri serikali na si kila wakati kuponda hoja za wenzanko, hasa wapinzani,wanapoikosoa serikali.

Imefika hatu kila unaposimama bungeni binafsi huwa natamani hata kubadili channel kwani huwa sivutiwi kabisa na michango yako mingi ndani ya bunge.

Waheshimiwa,igeni mifano ya wabunge kama Mnyika,Bulaya,Mdee,Filikunjombe,Mbowe na Kangi Lugulo na wengine wachache kwa kujenga hoja za msingi na kusimamia maslahi ya wananchi ndani ya bunge.

Pamoja na wote hao niliowataja;naomba niseme tu,kwa mtazamo wangu;mbunge ambae ni the best na wakuigwa katika utungaji wa sheria hasa katika upitishaji wa vifungu, ni mh John Mnyika.

Huyu ni kijana mdogo tu lakini kwakweli huwa analeta marekebisho ya msingi sana japo huwa hayaungwi mkono na wengi.

Waheshimiwa, tuteendeeni haki sisi wananchi muwapo humo bungeni.

Tatizo la Shekifu ni kufanya kazi ya ubunge huku 'hang over' ya u- RC haijamtoka. Na kujipendekeza pia inawezekana kupo.
 
Last edited by a moderator:
Huyu mbunge ni zuzu na hua anaongea utumbo mtupu. Kwa mtizamo wangu wakati wa kupitisha vifungu Mnyika is the best.
 
Back
Top Bottom