Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,150
- 162,561
Huyu mh.kila anaposimama bungeni huwa napati shida sana kumsikiliza kwani mara kwa mara amejigeuza kuwa mtetezi wa serikali na si mtetezi wa wananchi waliomchagua.
Mheshimiwa, wewe kama mbunge, kazi yako kubwa ni kuisimamia na kuishauri serikali na si kila wakati kuponda hoja za wenzanko, hasa wapinzani,wanapoikosoa serikali.
Imefika hatu kila unaposimama bungeni binafsi huwa natamani hata kubadili channel kwani huwa sivutiwi kabisa na michango yako mingi ndani ya bunge.
Waheshimiwa,igeni mifano ya wabunge kama Mnyika,Bulaya,Mdee,Filikunjombe,Mbowe, Kangi Lugulo na wengine wachache kwa kujenga hoja za msingi na kusimamia maslahi ya wananchi ndani ya bunge.
Pamoja na wote hao niliowataja;naomba niseme tu,kwa mtazamo wangu;mbunge ambae ni the best na wakuigwa katika utungaji wa sheria hasa katika upitishaji wa vifungu, ni mh John Mnyika.
Huyu ni kijana mdogo tu lakini kwakweli huwa analeta marekebisho ya msingi sana japo huwa hayaungwi mkono na wengi.
Waheshimiwa, tuteendeeni haki sisi wananchi muwapo humo bungeni.
Mheshimiwa, wewe kama mbunge, kazi yako kubwa ni kuisimamia na kuishauri serikali na si kila wakati kuponda hoja za wenzanko, hasa wapinzani,wanapoikosoa serikali.
Imefika hatu kila unaposimama bungeni binafsi huwa natamani hata kubadili channel kwani huwa sivutiwi kabisa na michango yako mingi ndani ya bunge.
Waheshimiwa,igeni mifano ya wabunge kama Mnyika,Bulaya,Mdee,Filikunjombe,Mbowe, Kangi Lugulo na wengine wachache kwa kujenga hoja za msingi na kusimamia maslahi ya wananchi ndani ya bunge.
Pamoja na wote hao niliowataja;naomba niseme tu,kwa mtazamo wangu;mbunge ambae ni the best na wakuigwa katika utungaji wa sheria hasa katika upitishaji wa vifungu, ni mh John Mnyika.
Huyu ni kijana mdogo tu lakini kwakweli huwa analeta marekebisho ya msingi sana japo huwa hayaungwi mkono na wengi.
Waheshimiwa, tuteendeeni haki sisi wananchi muwapo humo bungeni.
Last edited by a moderator: