MtuSomeone
Member
- Dec 7, 2008
- 57
- 3
Wapenda maendeleo ya soka la Bongo hebu naombeni msaada wenu!
Nimesoma Artcle moja kuhusu Mrisho Ngasa kwenda Norway na kwamba nafasi yake tayari imeshachukuliwa!! Ok Tuyaacha hayo...!!
Mimi hoj ayangu wajameni ni "Timu gani wachezaji wetu wanaend akuchezea"? Je kabla ya kupewa "ofa" hizo huwa wanafahamu wanenda kucheza timu gani au kwenda ulaya tu? Najua wengi wenu mnaning'aka lakini leo nimeona Aarticle inayomuhusu Nahodha wa timu ya Taifa, Henry Joseph kwamba anaenda kufanya majharibio Norway!! Hongera Henry!! (Kama umepata..isije kuwa umepatikana)
Article ya kwenye mtandao wa IPP Media inasema..."Taifa Stars skipper Henry Joseph, who was supposed to board Oslo-bound flight today to join professional ranks, had his flight rescheduled for tomorrow.
Henry, who also features for top flight side Simba Sports Club, has been given go ahead by the Tanzania Football Federation (TFF) to join the Norwegian side Thomson. .......The Sweden-based player`s agent, Grenn Schiller, has been duly informed of the changes by his Dar es Salaam counterpart Mehd Rhemtullah, a well established FIFA approved agent"
OK!! Hapo ni mwisho wa kunukuu!! Sasa nikaamua kuingia kwa website ili nijue Nahodha wetu wa MV Taifa Stars anajiunga na timu ya aina gani??? Katika kutizama kwa kweli jina la hiyo timu (kati ya timu zooote zilizopo kwenye Ligi za Norway sikuliona (tazama list hapo chini)!! Sasa ndiyo najiuliza viiiiiiiipi!!!!???
Lakini kidogo nikapata faraja kuona amepata agent japo ana ka-website:-
BRNÄIÄ & M AGENCY
Agent network - BRNÄIÄ & M AGENCY
Lakini swali langu la msingi bado lipo pale pale: Henry Joseph anenda kujaribiwa timu gani kati ya hizi??
Nimesoma Artcle moja kuhusu Mrisho Ngasa kwenda Norway na kwamba nafasi yake tayari imeshachukuliwa!! Ok Tuyaacha hayo...!!
Mimi hoj ayangu wajameni ni "Timu gani wachezaji wetu wanaend akuchezea"? Je kabla ya kupewa "ofa" hizo huwa wanafahamu wanenda kucheza timu gani au kwenda ulaya tu? Najua wengi wenu mnaning'aka lakini leo nimeona Aarticle inayomuhusu Nahodha wa timu ya Taifa, Henry Joseph kwamba anaenda kufanya majharibio Norway!! Hongera Henry!! (Kama umepata..isije kuwa umepatikana)
Article ya kwenye mtandao wa IPP Media inasema..."Taifa Stars skipper Henry Joseph, who was supposed to board Oslo-bound flight today to join professional ranks, had his flight rescheduled for tomorrow.
Henry, who also features for top flight side Simba Sports Club, has been given go ahead by the Tanzania Football Federation (TFF) to join the Norwegian side Thomson. .......The Sweden-based player`s agent, Grenn Schiller, has been duly informed of the changes by his Dar es Salaam counterpart Mehd Rhemtullah, a well established FIFA approved agent"
OK!! Hapo ni mwisho wa kunukuu!! Sasa nikaamua kuingia kwa website ili nijue Nahodha wetu wa MV Taifa Stars anajiunga na timu ya aina gani??? Katika kutizama kwa kweli jina la hiyo timu (kati ya timu zooote zilizopo kwenye Ligi za Norway sikuliona (tazama list hapo chini)!! Sasa ndiyo najiuliza viiiiiiiipi!!!!???
Lakini kidogo nikapata faraja kuona amepata agent japo ana ka-website:-
BRNÄIÄ & M AGENCY
Agent network - BRNÄIÄ & M AGENCY
Lakini swali langu la msingi bado lipo pale pale: Henry Joseph anenda kujaribiwa timu gani kati ya hizi??
- Aalesunds FK
- Algard FK
- Alta IF
- Amot IF
- Asane IL Ulset
- Asker Fotball
- Askoy FK
- Austevoll IK
- Averoykameratene
- Baerum SK Sandvika
- Bossekop UL
- Bryne FK
- Byasen Trondheim
- Clausenengen
- Drobak Frogn IL
- Eidsvold TF
- EIK Tonsberg
- Fana IL Nesttun
- FC Lyn Oslo
- FC Lyn Oslo II
- FF Lillehammer
- FK Arendal
- FK Bodo Glimt
- FK Bodo Glimt II
- FK Haugesund
- FK Mjolner Narvik
- FK Senja Silsand
- FK Tonsberg
- Flekkeroy IL
- Follo Fotball Ski
- Fram IF Larvik
- Fredrikstad FK
- Fredrikstad FK II
- Frigg Oslo
- Fyllingen Bergen
- Gjovik Lyn
- Groruddalen BK Oslo
- Hamarkamaratene
- Hammerfest FK
- Harstad IL
- Honefoss BK
- IK Start Kristiansand
- IL Hodd Ulsteinvik
- KFUM Fotball Oslo
- KIL Hemne
- Kjelsas Oslo
- Kongsvinger IL
- Kopervik IL
- Korsvoll IL Oslo
- Kristiansund BK
- Kvik Halden
- L/F Honefoss
- Levanger FK
- Lillestrom SK
- Lillestrom SK II
- Lofoten FK Svolvaer
- Lorenskog IF
- Lov Ham Bergen
- Mandalskameratene
- Manglerud Star Oslo
- Mjondalen IF
- Mo IL
- Modum FK
- Molde FK
- Moss FK
- Nardo FK Trondheim
- Nest Sotra Agotnes
- Notodden FK
- NTNUI Trondheim
- Nybergsund IL
- Odd Grenland II
- Odd Grenland Skien
- Orn Horten
- Os Turn Fotball
- Oslo Ost
- Ostsiden IL Sellebakk
- Pors Grenland
- Randaberg IL
- Ranheim Trondheim
- Raufoss Fotball
- Rosenborg BK
- Rosenborg BK II
- Runar
- Sandefjord Fotball
- Sandnes Ulf
- Sarpsborg FK
- SK Brann Bergen
- Skarbovik IF Aalesund
- Skarp IF Tromso
- Skeid Oslo
- Skjetten Fotball
- Sogndal IL
- Sparta Sarpsborg
- Sprint Jeloy SK
- Stabaek IF
- Stabaek IF II
- Start Kristiansand II
- Stavanger IF
- Steinkjer FK
- Strindheim IL
- Strommen IF
- Stromsgodset IF
- Stromsgodset IF II
- Tollnes
- Tromsdalen UIL
- Tromso IL
- Tromso IL II
- Ullensaker Kisa IL
- Ullern
- Valdres FK Fagernes
- Valerenga IF Oslo
- Valerenga IF Oslo II
- Vard Haugesund
- Viking Stavanger
- Viking Stavanger II
- Vindbjart FK Vennesla