muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 152
Wanaongelea Siasa na ajenda ya ustawi wa maisha ya wananchi.
Kafulila ameshusha takwimu za uchumi na umaskini wa tz kuonesh kwamba tz ni tajiri sana na wananchi wanahoji umaskini unatoka wapi wakati serikali na chama tawala wanashindwa kutoa majibu
Stella Manyanya na mzee mmoja kada wa ccm wanasema Spika aheshimiwe, wanasiasa waenzi amani ndo tutapata maendeleo. Kwamba vyama vya upinzani viache kulalamika, viheshimu serikali, washirikiane na chama tawala
Henje bado hajaongea
Kafulila ameshusha takwimu za uchumi na umaskini wa tz kuonesh kwamba tz ni tajiri sana na wananchi wanahoji umaskini unatoka wapi wakati serikali na chama tawala wanashindwa kutoa majibu
Stella Manyanya na mzee mmoja kada wa ccm wanasema Spika aheshimiwe, wanasiasa waenzi amani ndo tutapata maendeleo. Kwamba vyama vya upinzani viache kulalamika, viheshimu serikali, washirikiane na chama tawala
Henje bado hajaongea