Wenzako wameondolewa, sasa wewe badala uende ofisi za HESLB ujue imekuwaje unakuja humuJF kupiga domo la kisiasa utafikiri ofisi zao ziko humu.
Humu utaungana na wapiga domo wa siasa mtapiga domo, mtatukana halafu utakula utalala, halafu utaendelea kukatwa na maisha yako yatabaki vile vile.
Hizo degree siku hizi wanawapa mamburula tu.