BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,079
Dear IT guys,
Naombeni mnisaidie jinsi ya kutatua hili tatizo.
Password ya kulog in as ''Admin'' nimeisahau maana ni laptop sijaitumia kitambo. OS ni Windows XP. Nimeweza ku-log kama guest mana haina password ila siona documents zozote zilizopo kwenye ''Admin'' a/c.
NB: Kama mada ifananayo na hii naomba mnipe link halafu mods muiunganishe. Nimetafuta bila mafanikio!
Asanteni wakuu!!
Naombeni mnisaidie jinsi ya kutatua hili tatizo.
Password ya kulog in as ''Admin'' nimeisahau maana ni laptop sijaitumia kitambo. OS ni Windows XP. Nimeweza ku-log kama guest mana haina password ila siona documents zozote zilizopo kwenye ''Admin'' a/c.
NB: Kama mada ifananayo na hii naomba mnipe link halafu mods muiunganishe. Nimetafuta bila mafanikio!
Asanteni wakuu!!