Help Wakuu...Windows XP,log in password nimesahau!!

Help Wakuu...Windows XP,log in password nimesahau!!

BelindaJacob

Platinum Member
Joined
Nov 24, 2008
Posts
6,494
Reaction score
4,079
Dear IT guys,

Naombeni mnisaidie jinsi ya kutatua hili tatizo.

Password ya kulog in as ''Admin'' nimeisahau maana ni laptop sijaitumia kitambo. OS ni Windows XP. Nimeweza ku-log kama guest mana haina password ila siona documents zozote zilizopo kwenye ''Admin'' a/c.

NB: Kama mada ifananayo na hii naomba mnipe link halafu mods muiunganishe. Nimetafuta bila mafanikio!

Asanteni wakuu!!
 
Nimetengeneza image ya Window XP Password Remover (ISO file ya '8 MB') lakini kila niki-upload jf store inasema invalid files sijajua tatizo liko wapi au format gani zipo supported, Invisible msaaada katika hili. BelindaJacob unaweza kuwasha pc kwa safe mode? hii option wakati mwingine husaidia kuonyesha administrator iwapo installer wa OS ya pc yako aliongeza user accounts kama admin wakati wa kufanya Set up ya WINXP
 
Last edited by a moderator:
Nimetengeneza image ya Window XP Password Remover (ISO file ya '8 MB') lakini kila niki-upload jf store inasema invalid files sijajua tatizo liko wapi au format gani zipo supported, Invisible msaaada katika hili. BelindaJacob unaweza kuwasha pc kwa safe mode? hii option wakati mwingine husaidia kuonyesha administrator iwapo installer wa OS ya pc yako aliongeza user accounts kama admin wakati wa kufanya Set up ya WINXP

Mkuu kama computer yako haijatengenezewa password wakati wa kufanya installation, jaribu ku restart computer yako, ikiwa imewaka kabla haujafanya chochote, click alt+ctl+(delete mara 2) then kwenye user name andika neno administrator then click enter. Itafunguka na hivyo unaweza kwenda kwenye user account uka disable psswd. Ukishamaliza restart computer yako na itawaka bila password.
 
ikikushinda nitafuta chap hapa 0764452424 naona uchungu sana jf member anapoteska na mm nauwez wakumsaidia.
 
iwashe kwa njia ya safe mode itakuomba password press inter afu ingia kwenye user a/c and turn off password. Bhaassssi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom