Wakuu mm nimemwomb mtu anisaidie kuaply kutokana na shida ya network huk kijijin simiyu lkn kwa bahat mbay kuna course alinijazie sizitaki sasa natak nifanye changes na aliniprintia fomu tayar je naweza fanya changes kweny cas??if yes noamba procedures za kuingia iyo profil yangu nifanye change.MSAADA PLZ..