Help in ROOTING Huawei Ascend Y200

FUJISTU

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2013
Posts
261
Reaction score
93



wanajamvi anayejua jinsi ya kuroot aina hii ya simu anisaidie steps tafadhali :yo:
 
Research and use..z4root...ina android version gani?
 
mkuu mi na mshikaji wangu tumeweka recovery kwenye y200 yake ila tukijaribu kuroot inakuwa mizengwe. naendelea na hii project so nikipata breakthrough nitakujulisha, naomba na wewe ukiweza u do the same por moi
 
How did you do recovery? Na ukisema recovery una maana gani ?Ume recover backed up files na kuziweka? au umereinstall android...?
Poa ...nta fuatilia ๐Ÿ™‚
 
Guys nliona nisiwe mvivu....nimegoogle sana and nimepata solution...tayari nishairoot pamoja na ku-upgrade Android Version to ICS 4.0.3 kutoka 2.3.6 Gingerbread now ipo cool mbaya....there are procedures to be followed, hizo Z4ROOT na One Click root huwa zinazngu
 
Aisee tujuze nasi tujifunze ...
umetumia nini kuir00t.....
andika ka summary ..tafadhali
sisi.... old sch00l ......h4rdware h4ck3rsz
๐Ÿ™‚
 
Aisee tujuze nasi tujifunze ...
umetumia nini kuir00t.....
andika ka summary ..tafadhali
sisi.... old sch00l ......h4rdware h4ck3rsz
๐Ÿ™‚

kaka fuatisha process kutoka kwenye hii thread, https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/367740-je-ungependa-kuroot-huawei-ascend-y200-yako-ili-iwe-bora-zaidi-new-post.html
 

imetumia njia gani? naomba unijulishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ