Helmet moja tu ya F-35 ni Bilioni 1 kasoro?

Farolito

JF-Expert Member
Sep 10, 2018
11,634
26,373
Wakuu,
Nilikuwa napitia habari mitandaoni nikakutana na hii ambayo inasema Helmet moja ya F-35 fighter Jet inauzwa dollar laki nne($400,000).

Baadhi ya mambo teknolojia iliyonayo:

Camera 6 zinazomwezesha pilot kuona katika nyuzi 360
Uwezo kuona mchana na usiku bila shida
Uwezo wa kuona chini ya ndege(see through) kama x ray vile
uwezo wa kizuia kelele za nje kama engine nk
Uwezo mkubwa na usahihi wa kupiga target bila kuangalia dashboard ya ndege
Haiingizi risasi,inampa taarifa pilot kama temperature,altitude nk
wepesi wa kumfyatua pilot kwa speed ya upepo
Kila helmet inatengenezwa na ajili ya pilot mmoja tu kutokana na vipimo vya ukubwa wa kichwa,macho(pupil),masikio,spinal code nk

Kuwa na jeshi la kisasa ni gharama sana

Je Tanzania tunazo hizi F-35 fighter jets?

images.jpeg
635814789239828721-navy-helmet.jpg
bda7f747352d189458a72e504e199047d2ae3111.jpg
images (7).jpeg
images (6).jpeg
images (8).jpeg
 
Jamaa wako mbali mnoo.. sisi Bado tuko bize na kusaka tundu lissu kwa mahojiano kwann kapona risasi na ilikuwaje?. --polisi Tanzania
 
Usilete Retail Price; what is production price...

Ukizingatia labour ina-differ, sehemu moja ujira wa mtu mmoja kwa lisaa limoja sehemu nyingine inaweza kulipia watu kumi kwa mwezi
 
Usilete Retail Price; what is production price...

Ukizingatia labour ina-differ, sehemu moja ujira wa mtu mmoja kwa lisaa limoja sehemu nyingine inaweza kulipia watu kumi kwa mwezi
Kwani hizo ndege za F-35 zinatengenezwa sehemu tofauti na Marekani?
 
Hiyo ni helmet,embu tuone ndege yenyewe sasa😂😂,bado bunduki ilzinazofungwa na matunzo yake.

Inawezekana hata misaada wanayotupa huwa hawajui kama wametoa hela.
 
hizi angezipata shujaa angetuzingua


this is government

tumetoa printout

huwezi kuwa msaliti halafu ukasurvive bhaghosha
 
Back
Top Bottom