Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
Wakuu,
Nilikuwa napitia habari mitandaoni nikakutana na hii ambayo inasema Helmet moja ya F-35 fighter Jet inauzwa dollar laki nne($400,000).
Baadhi ya mambo teknolojia iliyonayo:
Camera 6 zinazomwezesha pilot kuona katika nyuzi 360
Uwezo kuona mchana na usiku bila shida
Uwezo wa kuona chini ya ndege(see through) kama x ray vile
uwezo wa kizuia kelele za nje kama engine nk
Uwezo mkubwa na usahihi wa kupiga target bila kuangalia dashboard ya ndege
Haiingizi risasi,inampa taarifa pilot kama temperature,altitude nk
wepesi wa kumfyatua pilot kwa speed ya upepo
Kila helmet inatengenezwa na ajili ya pilot mmoja tu kutokana na vipimo vya ukubwa wa kichwa,macho(pupil),masikio,spinal code nk
Kuwa na jeshi la kisasa ni gharama sana
Je Tanzania tunazo hizi F-35 fighter jets?
Nilikuwa napitia habari mitandaoni nikakutana na hii ambayo inasema Helmet moja ya F-35 fighter Jet inauzwa dollar laki nne($400,000).
Baadhi ya mambo teknolojia iliyonayo:
Camera 6 zinazomwezesha pilot kuona katika nyuzi 360
Uwezo kuona mchana na usiku bila shida
Uwezo wa kuona chini ya ndege(see through) kama x ray vile
uwezo wa kizuia kelele za nje kama engine nk
Uwezo mkubwa na usahihi wa kupiga target bila kuangalia dashboard ya ndege
Haiingizi risasi,inampa taarifa pilot kama temperature,altitude nk
wepesi wa kumfyatua pilot kwa speed ya upepo
Kila helmet inatengenezwa na ajili ya pilot mmoja tu kutokana na vipimo vya ukubwa wa kichwa,macho(pupil),masikio,spinal code nk
Kuwa na jeshi la kisasa ni gharama sana
Je Tanzania tunazo hizi F-35 fighter jets?