Hello!

Mzee Dogo

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2010
Posts
400
Reaction score
140
Ni tumaini langu kuwa mko vizuri ndugu zangu wana jf, mimi ni mgeni katika ukumbi huu na hivi leo ninaomba baraka zenu wazee na watangulizi wangu ili tushiriki kwa pamoja katika kudadavua na kuchangia mijadara mbalimbali inayolihusu taifa letu na maisha yetu ya kila siku.
Natanguliza shukrani
 

we ni yupi kati ya mzee na dogo!:welcome:
 
Endapo umri wangu ni wa kuitwa mzee halafu jina langu ni Dogo ungependa kuniita nani? Naamini sasa utakuwa unalo jibu sahihi kuhusu swali lako vinginevyo nashukuru kwa ukaribisho wako, Katavi nashukuru pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…