Preta JF-Expert Member Nov 28, 2009 24,323 18,793 Dec 12, 2010 #3 salama....karibu.....sijui nimekuelewa?.......unajitambulisha au?....
T toxic JF-Expert Member Dec 11, 2010 771 158 Dec 12, 2010 Thread starter #4 yep,nilikuwa najitambulisha.
P Paul S.S JF-Expert Member Aug 27, 2009 6,404 3,245 Dec 12, 2010 #5 Wengine umetuonea wapagani hujatupa salamu yetu. karibu janvini mkuu
T toxic JF-Expert Member Dec 11, 2010 771 158 Dec 12, 2010 Thread starter #6 paulss said: Wengine umetuonea wapagani hujatupa salamu yetu. karibu janvini mkuu Click to expand... Akhsante sana,unisamehe kwa niaba ya wapagani wote,nadhani hiyo inakwenda na kwa wakomunisti pia wakina kingunge maana salaam yao sijaitoa pia na siifahamu.asante mtu wangu.
paulss said: Wengine umetuonea wapagani hujatupa salamu yetu. karibu janvini mkuu Click to expand... Akhsante sana,unisamehe kwa niaba ya wapagani wote,nadhani hiyo inakwenda na kwa wakomunisti pia wakina kingunge maana salaam yao sijaitoa pia na siifahamu.asante mtu wangu.
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,193 Dec 12, 2010 #7 W'msalaam shekhe. Wajionaje hali?