kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Mwaka 2019 mimi pamoja na marafiki zangu watatu Tulipata kazi kwenye kiwanda fulani cha kutengeneza biskuti
Historia ya sehemu hiyo kama tulivyo ambia na watu ilikuwa sio nzuri kwa watu weusi maana kulikuwa wazungu tu na watu weusi wengi walikuwa wanakimbia sehemu hiyo kutokana na matatizo ya kubaguliwa na wafanya kazi wenzao (wale wasimamizi wenyewe hawanaga ubaguzi ubaguzi upo kwa wafanya kazi)
Sisi tukajiamini na kusema na liwalo na liwe sisi ndo tutakuwa watu weusi wa kwanza kufanya kazi apo na hakuna kitakacho tukuta
Eee bwana ile siku ya kwanza sisi kutambulishwa tu tulianza kuona sura za wafanyakazi wenzetu kununa lakini sio wote baadhi.
Na baada ya apo ni ubaguzi wawazi wazi ndo tulikuwa tuna onyeshwa na baadhi ya wafanya kazi wenzetu
Marafiki zangu walikuwa wanabebana kila siku na baadhi ya watu fulani mule ndani ya kiwanda tulijaribu kupeleka malalamiko yetu ofisini kule lakini hakuna kilicho badirika.
Mwisho wale marafiki zangu walishindwa na kazi wakaacha nikabaki peke yangu. Mimi sikukata tamaa nilipambana na kazi.
Licha ya kuonyeshwa ubaguzi kutukanwa kwa mafumbo kuchekwa sikuwahi kujibu mtu yeyote wala kuongeya chochote kwao
Mwishowe walishindwa wenyewe kuona wanamuwekea ubaguzi mtu asiye jali na nilijituma saana ndani ya kazi kwa ile nafasi ndogo ambayo walikuwa wana nipa. Chuki zao zidi yangu zikabadirika upendo. Mpaka wakafikia hatua ya kuniita (enfant sage) Yaani Mtoto mwenye hekima.
Wakati mwingine tumia hekima yako kuliko jeuri. Najua inauma saana lakini don't care.
Malipo ya kazi yako au hekima yako. Itawajibu wapumbavu
Historia ya sehemu hiyo kama tulivyo ambia na watu ilikuwa sio nzuri kwa watu weusi maana kulikuwa wazungu tu na watu weusi wengi walikuwa wanakimbia sehemu hiyo kutokana na matatizo ya kubaguliwa na wafanya kazi wenzao (wale wasimamizi wenyewe hawanaga ubaguzi ubaguzi upo kwa wafanya kazi)
Sisi tukajiamini na kusema na liwalo na liwe sisi ndo tutakuwa watu weusi wa kwanza kufanya kazi apo na hakuna kitakacho tukuta
Eee bwana ile siku ya kwanza sisi kutambulishwa tu tulianza kuona sura za wafanyakazi wenzetu kununa lakini sio wote baadhi.
Na baada ya apo ni ubaguzi wawazi wazi ndo tulikuwa tuna onyeshwa na baadhi ya wafanya kazi wenzetu
Marafiki zangu walikuwa wanabebana kila siku na baadhi ya watu fulani mule ndani ya kiwanda tulijaribu kupeleka malalamiko yetu ofisini kule lakini hakuna kilicho badirika.
Mwisho wale marafiki zangu walishindwa na kazi wakaacha nikabaki peke yangu. Mimi sikukata tamaa nilipambana na kazi.
Licha ya kuonyeshwa ubaguzi kutukanwa kwa mafumbo kuchekwa sikuwahi kujibu mtu yeyote wala kuongeya chochote kwao
Mwishowe walishindwa wenyewe kuona wanamuwekea ubaguzi mtu asiye jali na nilijituma saana ndani ya kazi kwa ile nafasi ndogo ambayo walikuwa wana nipa. Chuki zao zidi yangu zikabadirika upendo. Mpaka wakafikia hatua ya kuniita (enfant sage) Yaani Mtoto mwenye hekima.
Wakati mwingine tumia hekima yako kuliko jeuri. Najua inauma saana lakini don't care.
Malipo ya kazi yako au hekima yako. Itawajibu wapumbavu