Mwanakanenge
Member
- Nov 25, 2012
- 75
- 17
Habari wana jukwaa,
Katika bunge lililopita kulikuwa na malalamiko juu ya maamuzi ya kiti cha spika hususani kupendelea wabunge wa chama tawala na kuwabana wale wa vyama vya upinzani ndani a bunge la jamhuri la muungano,hivyo basi hekima na busara za spika kutumia kiti chake kwa haki kitalifanya bunge kufanya kazi yako bila manung'uniko toka kwa wabunge wa vyama vyote lengo kuu ni kuwatumikia watanzania na kuijenga nchi yetu.
Mungu ibariki tanzania,mungu ibariki afrika
Hekima na busara za kitu cha spika zidumu!
Katika bunge lililopita kulikuwa na malalamiko juu ya maamuzi ya kiti cha spika hususani kupendelea wabunge wa chama tawala na kuwabana wale wa vyama vya upinzani ndani a bunge la jamhuri la muungano,hivyo basi hekima na busara za spika kutumia kiti chake kwa haki kitalifanya bunge kufanya kazi yako bila manung'uniko toka kwa wabunge wa vyama vyote lengo kuu ni kuwatumikia watanzania na kuijenga nchi yetu.
Mungu ibariki tanzania,mungu ibariki afrika
Hekima na busara za kitu cha spika zidumu!