Kampeni ya No Reforms, No election ina hoja za msingi sana na ni vyema CCM wakakubali kuwepo na tume huru na mchakato wa uchaguzi ulio wazi kabisa.
Kuna baraka nyingi sana kutoka kwa Allah unapokuwa umeshinda kwa haki.
Kwenye hili la Tume huru ya Uchaguzi:
Katika akili za kawaida kabisa, inawezekana je watoa maamuzi ya uchaguzi wakawa watu wanaoteuliwa na mmoja wa wagombea? Alafu watakacho tangaza hakiwezi kuojiwa mahakamani?
Kanuni hii ni kwa faida ya nani? Kwa nini CCM msikubali FAIR ELECTION PROCESS ambayo itakuwa na Tume Huru ya Uchaguzi? Au kwenu nyie ni lazima mshinde kwa namna yoyote ile?
Sio sawa. Tunahitaji viongozi watakaoshinda uchaguzi kwa haki. Vinginevyo Watanzania wote tuitakiao mema nchi hii tumuombe Mungu kwa sauti moja atuondolee hii kero pia kwani ni yeye pekee maaamuzi yake hayaojiwi popote pale.
Na hilo ndilo neno la Bwana.
Kuna baraka nyingi sana kutoka kwa Allah unapokuwa umeshinda kwa haki.
Kwenye hili la Tume huru ya Uchaguzi:
Katika akili za kawaida kabisa, inawezekana je watoa maamuzi ya uchaguzi wakawa watu wanaoteuliwa na mmoja wa wagombea? Alafu watakacho tangaza hakiwezi kuojiwa mahakamani?
Kanuni hii ni kwa faida ya nani? Kwa nini CCM msikubali FAIR ELECTION PROCESS ambayo itakuwa na Tume Huru ya Uchaguzi? Au kwenu nyie ni lazima mshinde kwa namna yoyote ile?
Sio sawa. Tunahitaji viongozi watakaoshinda uchaguzi kwa haki. Vinginevyo Watanzania wote tuitakiao mema nchi hii tumuombe Mungu kwa sauti moja atuondolee hii kero pia kwani ni yeye pekee maaamuzi yake hayaojiwi popote pale.
Na hilo ndilo neno la Bwana.