Kuuliza sio ujinga zanzibar spices unaweza kuwa najua bei fulani kumbe kuna watu wapo tayar kulipa twice as much au ukaweka bei kumbe ni kubwa sana. Hata kama ni aibu si itanirudia mimi na sio wewe. Ungeweza kupita tu sio kila post unacomment
Wakuu mimi nahitaji eneo lililo karibu na chanzo cha maji kama si mto basi kuwepo na maji ya kisima, nina hitaji kwa haraka ukubwa ni kuanzaia ekari 2 na kuendelea maeneo ya bagamoyo. kama unalo naomba uje pm serious sellers only
Wakuu mimi nahitaji eneo lililo karibu na chanzo cha maji kama si mto basi kuwepo na maji ya kisima, nina hitaji kwa haraka ukubwa ni kuanzaia ekari 2 na kuendelea maeneo ya bagamoyo. kama unalo naomba uje pm serious sellers only
Nnacho Mapinga, kisima kimeshachimbwa, solar panels cha mwisho next to bahari nikinaanisha cha mwisho, unaingilia nuia ya Lord Baden sec school ni hekari 2 na nyumba mpya ni pm au call 0763853801 anytime. Kina hati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.