SUZAN NYATI Member Joined Jun 10, 2016 Posts 35 Reaction score 12 Jun 20, 2016 #1 Shamba lipo kilosa, Morogoro eka 100 bei shilling million 80 mpaka 75 mwisho
A Al-shabaab JF-Expert Member Joined Aug 24, 2013 Posts 1,791 Reaction score 620 Jun 20, 2016 #2 Me nahitaji eka 2 je ntapata kwa bei gani?
SUZAN NYATI Member Joined Jun 10, 2016 Posts 35 Reaction score 12 Jun 20, 2016 Thread starter #3 Unataka kwa sehemu ipi
A Al-shabaab JF-Expert Member Joined Aug 24, 2013 Posts 1,791 Reaction score 620 Jun 20, 2016 #4 Kwenye hizo eka 100 zako huko kilosa
SUZAN NYATI Member Joined Jun 10, 2016 Posts 35 Reaction score 12 Jun 20, 2016 Thread starter #5 Budget yako ni how much
A Al-shabaab JF-Expert Member Joined Aug 24, 2013 Posts 1,791 Reaction score 620 Jun 20, 2016 #6 SUZAN NYATI said: Budget yako ni how much Click to expand... we nitajie tu bei yako then na mimi ntakutajia bei yangu ili tuelewane
SUZAN NYATI said: Budget yako ni how much Click to expand... we nitajie tu bei yako then na mimi ntakutajia bei yangu ili tuelewane
SUZAN NYATI Member Joined Jun 10, 2016 Posts 35 Reaction score 12 Jun 20, 2016 Thread starter #7 Hizo heca 100 zinauza zote kwa pamoja
Averoes JF-Expert Member Joined Jan 30, 2014 Posts 986 Reaction score 513 Jun 20, 2016 #8 Lina mazao gani hilo shamba
SUZAN NYATI Member Joined Jun 10, 2016 Posts 35 Reaction score 12 Jun 20, 2016 Thread starter #9 Ni eneo lenye rutuba nzuri sana, mazao ni mahindi, mpunga, ifuta, matikiti nk
C Conroy Senior Member Joined May 23, 2014 Posts 158 Reaction score 44 Jun 20, 2016 #10 0689315582 nicheki kwa sms
Averoes JF-Expert Member Joined Jan 30, 2014 Posts 986 Reaction score 513 Jun 21, 2016 #11 SUZAN NYATI said: Ni eneo lenye rutuba nzuri sana, mazao ni mahindi, mpunga, ifuta, matikiti nk Click to expand... Kwa hiyo ni ardhi tupu au pori au vipi?
SUZAN NYATI said: Ni eneo lenye rutuba nzuri sana, mazao ni mahindi, mpunga, ifuta, matikiti nk Click to expand... Kwa hiyo ni ardhi tupu au pori au vipi?
SUZAN NYATI Member Joined Jun 10, 2016 Posts 35 Reaction score 12 Jun 21, 2016 Thread starter #12 Ni aridhi tupu yes