Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,980
- 13,633
Wana JF,cc wafanyabiasha hapa kilombero,hususani mjini ifakara tuna cku ya tatu sasa kila tukienda bank kutoa pesa tunaambiwa pesa hamna. Sababu walizotoa wafanyakazi wa bank hiyo ni kwamba,watu hawadeposite bali wanadraw tu. Meneja wa tawi alituhakikishia kuwa pesa zitafika leo hii.mpaka muda wa saa 10 jioni gari haikuwa imefika. Nahata kama litafika jioni hii kesho ni 77 hamna kazi..juzi,jana na leo tuliruhusiwa kuchukua Tshs 1000000/=tu. Hii imekaaje wandugu? NB-siku mbili zilizopita kulikuwa hamna mafuta ya petrol!