Heee! Mtwara bado wana machungu?


Ngoja mama na dada yako wananilihiwe ndipo utuletee huu uchambuzi wako wa ki..j..inga. Usicheze na feelings za watu bana..
 
 

Hongera wewe uliye na elimu kuuuubwa!!! watu wengine sijui huwa munaumbwa saa ngapi?
 

Nadhani watu wa Mtwara walikuwa sahihi kuiomba serikali uchimbaji na usafishaji gesi ufanyikie Mtwara,na sidhani kama nia ni kuwanyima Watanzania haki ya gesi.Hebu tujiulize mbona dhahabu,almasi,Tanzanite na madini mengine yanasafishwa kwenye eneo husika na kinachosafirishwa ni kilichosafishwa?

Watawala sababu ya choyo,unafiki na kujilimbikizia mali kuliko pitiliza wakijali familia zao na marafiki zao ndiyo hawakuwaelewa watu wa Mtwara.Nitasimamia kuwatetea watu wa Mtwara kwamba hawakutendewa haki,na hii itakuja kutugharimu siku moja.

Elimu siyo kuwa na akili ni njia tu ya kujua kusoma na kuandika.Kuna maprofesa kibao lakini tujiulize wamelifanyia nini Taifa letu.Hongera watu wa Mtwara kwa kuzijua haki zenu za msingi.
 
Sizani kama ni busara kuchochea na kupongeza kwa waliyoyafanya watu wa Mtwara. Wawe wapole kama sisi wasukuma wa geita na shinyanga tulivyo wapole kwenye dhahabu. Kuandamana na kufunga bara bara na biashara sio suruhu ya kero zao. Wakae mezani wazungumze na serikali sikivu ya jembe na nyundo itawasikia na kutatua kero zao.
 

Na kuhusu barabara ya Somanga hadi daraja la Mkapa nalo ni jambo la kuchochewa na wanasiasa?........miaka hamsini ya Uhuru mambo bila bila...........ona hii ya mwenzi April 2014
View attachment 160089 View attachment 160089
 
Hawa jamaa ni wajinga leo kwasababu walipuuzwa na serikali yenu ya chama cha magamba. Kama wasingalipuuzwa basi wangalijengewa shule na vyuo na hivyo kupata elimu ya kuondoa ujinga. Kama ni suala la ujinga basi wa kulaumiwa ni CCM na si watz. Hata hivyo, usisahau kwamba ujinga wa watz ndio mtaji mkubwa wa CCM kuendelea kubaki madarakani. Nafikiri umejionea mwenyewe yaliyotokea Kalenga na Chalinze. Yote haya yanadhihirisha kwamba ujinga si kwa wana-mtwara tu bali ni kwa watanzania wengi. Na kichocheo kikuu cha ujinga huu ni chama chenu cha magamba.
 


Akili za ki.puuzi kama hizi peleka huko huko kwa jamaa zako.

Mziki huu bado unaendelea.

Salamu ziwafikie.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…