Heche: Kuamka na kutoa amri ya kutosafirisha mchanga ni kosa, inatakiwa kubadili sheria na mikataba

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,885
Kuna hisia zinajengwa kwamba Makontena ya mchanga wa dhahabu (copper concentrate) au makinikia ya shamba yaliyokua yanasafirishwa nje ya nchi, yanasafirishwa kwa wizi au kwa njia za kificho. hii ni siasa ya kujitafutia umaarufu usio na msingi.

Ni kweli kwamba usafirishaji huu umesababishia taifa letu hasara kubwa sana, lakini siku zote makontena yamesafirishwa kihalali na kwa mujibu wa sheria na mikataba ambayo taifa letu limesaini, kwahiyo kusahihisha hilo sio kutoa tamko bali kuleta bungeni mikataba hiyo ili ipitiwe upya.

Michanga hii imepigiwa kelele mda mrefu na wabunge wetu lakini kwasababu ya uchache wao walipuuzwa. Sheria zililetwa na kupitishwa kwa hati ya dharura, kuzuia kwa ghafla tu vitu vilivyo kwenye mikataba ni kusababishia nchi hasara kubwa zaidi.

tayari Accacia wametangaza kwamba wanapata hasara ya 1m USD kila siku tangu kutolewa tamko la kuzuia usafirishaji huo. Sababu za wao kusafiri mchanga huu ni kwamba Tanzania hakuna tanuri au (smelter) ya kuchomea kiwango cha dhahabu kinachobaki kwenye mchanga kiasi cha 20% baada ya kusafisha kwenye migodi yao ambayo kwa Tanzania ni Buzwagi na Bulyahuru.

Ukisoma sera ya madini 2009 kifungu cha 5.11 kinaeleza wajibu wa serikali katika kuhamasisha uongezaji wa thamani ya madini nchini.
Lakini kutoa tamko overnight na kuonesha kwamba kuna kitu cha wizi kimekamtwa ambacho kilikua hakijulikani sio kweli kwasababu michanga hii inabebwa migodini na huko kuna watu wa serikali kuanzia TMAA,TRA na hata watu wa usalama, kuna wakuu wa wilaya, wakuu wa Mikoa na pia hii michanga inasafirishwa mchana kwenye barabra zetu.

My take:
Serikali ilete hiyo mikataba na sheria hizo zilizopitishwa kipindi hicho bungeni tuzifanyie marekebisho kuzia tu kwa tamko kutasababisha hasara kubwa kwa nchi maana tutashitakiwa kwenye mahakama za kimataifa.

Hii pia itukumbushe sheria ya mafuta ilivyopitishwa kishabiki na wabunge wa ccm tena kwa hati ya dharura nategemea nayo itatoa mwanya wa kuibiwa kama huu wa madini kama isipoangaliwa upya.
 
Kuna hisia zinajengwa kwamba Makontena ya mchanga wa dhahabu (copper concentrate) au makinikia ya shamba yaliyokua yanasafirishwa nje ya nchi, yanasafirishwa kwa wizi au kwa njia za kificho. hii ni siasa ya kujitafutia umaarufu usio na msingi.

Ni kweli kwamba usafirishaji huu umesababishia taifa letu hasara kubwa sana, lakini siku zote makontena yamesafirishwa kihalali na kwa mujibu wa sheria na mikataba ambayo taifa letu limesaini, kwahiyo kusahihisha hilo sio kutoa tamko bali kuleta bungeni mikataba hiyo ili ipitiwe upya.

Michanga hii imepigiwa kelele mda mrefu na wabunge wetu lakini kwasababu ya uchache wao walipuuzwa. Sheria zililetwa na kupitishwa kwa hati ya dharura, kuzuia kwa ghafla tu vitu vilivyo kwenye mikataba ni kusababishia nchi hasara kubwa zaidi.

tayari Accacia wametangaza kwamba wanapata hasara ya 1m USD kila siku tangu kutolewa tamko la kuzuia usafirishaji huo. Sababu za wao kusafiri mchanga huu ni kwamba Tanzania hakuna tanuri au (smelter) ya kuchomea kiwango cha dhahabu kinachobaki kwenye mchanga kiasi cha 20% baada ya kusafisha kwenye migodi yao ambayo kwa Tanzania ni Buzwagi na Bulyahuru.

Ukisoma sera ya madini 2009 kifungu cha 5.11 kinaeleza wajibu wa serikali katika kuhamasisha uongezaji wa thamani ya madini nchini.
Lakini kutoa tamko overnight na kuonesha kwamba kuna kitu cha wizi kimekamtwa ambacho kilikua hakijulikani sio kweli kwasababu michanga hii inabebwa migodini na huko kuna watu wa serikali kuanzia TMAA,TRA na hata watu wa usalama, kuna wakuu wa wilaya, wakuu wa Mikoa na pia hii michanga inasafirishwa mchana kwenye barabra zetu.

My take:
Serikali ilete hiyo mikataba na sheria hizo zilizopitishwa kipindi hicho bungeni tuzifanyie marekebisho kuzia tu kwa tamko kutasababisha hasara kubwa kwa nchi maana tutashitakiwa kwenye mahakama za kimataifa.

Hii pia itukumbushe sheria ya mafuta ilivyopitishwa kishabiki na wabunge wa ccm tena kwa hati ya dharura nategemea nayo itatoa mwanya wa kuibiwa kama huu wa madini kama isipoangaliwa upya.


Vipi na wewe Mke wako au sijui Mamako Heche kupewa Ubunge wa AM wkt wengine wapo? Ongelea hilo kwanza, shughulikia haki ndani ya chadema kwanza ndiyo utoke nje, kwa nini mnataka kujilimbikizia vyeo? Kwani hakuna chadema wengine?
 
Teteeni upuuzi tu...tunajua kabsa mnahongwa na hao MAJIZI ya nchi hii kutetea HUU WIZI...tushawajua
Na mtapiga miano kweli AWAMU hii......
 
Kwanini Heche na wazungusha mikono wenziwe wasipeleke hoja bungeni kutaka sheria ibadilishwe badala ya kulilia kwenye mitandao kama raia wa kawaida. Kazi ya mbunge nini, na sheria zinatungwa wapi?
 
Kuna hisia zinajengwa kwamba Makontena ya mchanga wa dhahabu (copper concentrate) au makinikia ya shamba yaliyokua yanasafirishwa nje ya nchi, yanasafirishwa kwa wizi au kwa njia za kificho. hii ni siasa ya kujitafutia umaarufu usio na msingi.

Ni kweli kwamba usafirishaji huu umesababishia taifa letu hasara kubwa sana, lakini siku zote makontena yamesafirishwa kihalali na kwa mujibu wa sheria na mikataba ambayo taifa letu limesaini, kwahiyo kusahihisha hilo sio kutoa tamko bali kuleta bungeni mikataba hiyo ili ipitiwe upya.

Michanga hii imepigiwa kelele mda mrefu na wabunge wetu lakini kwasababu ya uchache wao walipuuzwa. Sheria zililetwa na kupitishwa kwa hati ya dharura, kuzuia kwa ghafla tu vitu vilivyo kwenye mikataba ni kusababishia nchi hasara kubwa zaidi.

tayari Accacia wametangaza kwamba wanapata hasara ya 1m USD kila siku tangu kutolewa tamko la kuzuia usafirishaji huo. Sababu za wao kusafiri mchanga huu ni kwamba Tanzania hakuna tanuri au (smelter) ya kuchomea kiwango cha dhahabu kinachobaki kwenye mchanga kiasi cha 20% baada ya kusafisha kwenye migodi yao ambayo kwa Tanzania ni Buzwagi na Bulyahuru.

Ukisoma sera ya madini 2009 kifungu cha 5.11 kinaeleza wajibu wa serikali katika kuhamasisha uongezaji wa thamani ya madini nchini.
Lakini kutoa tamko overnight na kuonesha kwamba kuna kitu cha wizi kimekamtwa ambacho kilikua hakijulikani sio kweli kwasababu michanga hii inabebwa migodini na huko kuna watu wa serikali kuanzia TMAA,TRA na hata watu wa usalama, kuna wakuu wa wilaya, wakuu wa Mikoa na pia hii michanga inasafirishwa mchana kwenye barabra zetu.

My take:
Serikali ilete hiyo mikataba na sheria hizo zilizopitishwa kipindi hicho bungeni tuzifanyie marekebisho kuzia tu kwa tamko kutasababisha hasara kubwa kwa nchi maana tutashitakiwa kwenye mahakama za kimataifa.

Hii pia itukumbushe sheria ya mafuta ilivyopitishwa kishabiki na wabunge wa ccm tena kwa hati ya dharura nategemea nayo itatoa mwanya wa kuibiwa kama huu wa madini kama isipoangaliwa upya.
Kaka haijalishi hata kama ni halali hilo kila MTU analifahamu ila Rais ameamua kuwa STOP kuanza sasa kwa faida ya nchi.

Na kunauwezekano pamoja na kusema ni mchanga yawezekana kuna mengine zaidi ya mchanga ndani ya Yale makontena haijalishi uwepo uwepo wa hao uliowataja hapo juu kuwepo huko yanakoanzia safari ni binadamu hao.

Ndiyo maana Rais anataka kujua na yawezekana anajua kuna nini ndani zaidi ya mchanga.

Nchi hatuwezi kuwa wajinga wajinga tu tuibiwe kila kitu mchana kweupe haiwezekani hiyo mikataba kazi kwenu nyie Wabunge kubadili ndiyo majukumu yenu
 
Vipi na wewe Mke wako au sijui Mamako Heche kupewa Ubunge wa AM wkt wengine wapo? Ongelea hilo kwanza, shughulikia haki ndani ya chadema kwanza ndiyo utoke nje, kwa nini mnataka kujilimbikizia vyeo? Kwani hakuna chadema wengine?
tumewazoea kasuku wa lumumba. ni kawaida yenu mkikosa hoja za majibu ya mada mnakimbilia kutaja CHADEMA.
 
Teteeni upuuzi tu...tunajua kabsa mnahongwa na hao MAJIZI ya nchi hii kutetea HUU WIZI...tushawajua
Na mtapiga miano kweli AWAMU hii......
Wewe ni kiazi, hivi hizi sheria bungeni hupitishwa na kina nani kama siyo wake wa party cocos ya chama tawala?? Mkisha umbuliwa mnatukana watu. Acha ujinga
 
Kaka haijalishi hata kama ni halali hilo kila MTU analifahamu ila Rais ameamua kuwa STOP kuanza sasa kwa faida ya nchi.

Na kunauwezekano pamoja na kusema ni mchanga yawezekana kuna mengine zaidi ya mchanga ndani ya Yale makontena haijalishi uwepo uwepo wa hao uliowataja hapo juu kuwepo huko yanakoanzia safari ni binadamu hao.

Ndiyo maana Rais anataka kujua na yawezekana anajua kuna nini ndani zaidi ya mchanga.

Nchi hatuwezi kuwa wajinga wajinga tu tuibiwe kila kitu mchana kweupe haiwezekani hiyo mikataba kazi kwenu nyie Wabunge kubadili ndiyo majukumu yenu
Haya mngeyatamka wakati sheria za hovyo zinapitishwa bungeni, leo hii msingebakia kubishana hapa. Tatizo lenu mnajitoaga ufahamu. Mwenzako kasema kabisa sheria zinaruhusu na kama hazifai zikabadilishwe ili mambo yaende sawa bila mtu kuumia au kuingia hasara. Hivi unayajua madhara ya kuvunja mkataba wewe? Think twice kabla hujazungumza kitu.

Mmekalia ushabiki tu badala ya uhalisia. Taiga linaangamia kwa kukosa watu thabiti wenye kufuata sheria, nyie mnachekelea. Mtaanza kusema kesi haikuendeshwa kwa haki kama kipindi kile mmekamata meli za samaki
 
Kwa hili namuunga mkono mkuu...

Kuna mwanzo wa kila jambo.

Azuie kama alivyofanya halafu hao wadau waangalie namna nzuri ambayo tutakuwa na win win situation.

Sijui Kwa nini hatuoni kuwa sisi ni potential kwa resource endowment. ..hata kama wata sue. ..but they still need that business...so hofu ya kuwa sued isifanye tuwe wanyonge..We have potential
 
Kuna hisia zinajengwa kwamba Makontena ya mchanga wa dhahabu (copper concentrate) au makinikia ya shamba yaliyokua yanasafirishwa nje ya nchi, yanasafirishwa kwa wizi au kwa njia za kificho. hii ni siasa ya kujitafutia umaarufu usio na msingi.

Ni kweli kwamba usafirishaji huu umesababishia taifa letu hasara kubwa sana, lakini siku zote makontena yamesafirishwa kihalali na kwa mujibu wa sheria na mikataba ambayo taifa letu limesaini, kwahiyo kusahihisha hilo sio kutoa tamko bali kuleta bungeni mikataba hiyo ili ipitiwe upya.

Michanga hii imepigiwa kelele mda mrefu na wabunge wetu lakini kwasababu ya uchache wao walipuuzwa. Sheria zililetwa na kupitishwa kwa hati ya dharura, kuzuia kwa ghafla tu vitu vilivyo kwenye mikataba ni kusababishia nchi hasara kubwa zaidi.

tayari Accacia wametangaza kwamba wanapata hasara ya 1m USD kila siku tangu kutolewa tamko la kuzuia usafirishaji huo. Sababu za wao kusafiri mchanga huu ni kwamba Tanzania hakuna tanuri au (smelter) ya kuchomea kiwango cha dhahabu kinachobaki kwenye mchanga kiasi cha 20% baada ya kusafisha kwenye migodi yao ambayo kwa Tanzania ni Buzwagi na Bulyahuru.

Ukisoma sera ya madini 2009 kifungu cha 5.11 kinaeleza wajibu wa serikali katika kuhamasisha uongezaji wa thamani ya madini nchini.
Lakini kutoa tamko overnight na kuonesha kwamba kuna kitu cha wizi kimekamtwa ambacho kilikua hakijulikani sio kweli kwasababu michanga hii inabebwa migodini na huko kuna watu wa serikali kuanzia TMAA,TRA na hata watu wa usalama, kuna wakuu wa wilaya, wakuu wa Mikoa na pia hii michanga inasafirishwa mchana kwenye barabra zetu.

My take:
Serikali ilete hiyo mikataba na sheria hizo zilizopitishwa kipindi hicho bungeni tuzifanyie marekebisho kuzia tu kwa tamko kutasababisha hasara kubwa kwa nchi maana tutashitakiwa kwenye mahakama za kimataifa.

Hii pia itukumbushe sheria ya mafuta ilivyopitishwa kishabiki na wabunge wa ccm tena kwa hati ya dharura nategemea nayo itatoa mwanya wa kuibiwa kama huu wa madini kama isipoangaliwa upya.
Hivi wewe unaakili kweli. Inasema serikali imekurupuka alafu hujui mikataba walioingia kati ya serikali na kampuni za madini. Tafuta mikataba kwanza alafu ndio ilaumu serikali. Hivi nyinyi mna matatizo gani?
 
Vipi na wewe Mke wako au sijui Mamako Heche kupewa Ubunge wa AM wkt wengine wapo? Ongelea hilo kwanza, shughulikia haki ndani ya chadema kwanza ndiyo utoke nje, kwa nini mnataka kujilimbikizia vyeo? Kwani hakuna chadema wengine?
Jamani mimi kama sielewi vile,, hv mikataba kuletwa bungeni kurekebisbwa kwa maslahi ya taifa ili baadae tusije tukafikishwa mahakamani na kutakiwa kulipa fidia vinahusiana nini na vyeo au chama fulani,,?? Hili si suala la kitaifa jamani,,!! Sa masuala ya kitaifa watu mnaleta itikadi,! Kwani ikitakiwa ilipwe fidia kuna kodi ya wanachama wa chama fulani tu ndo watakaokatwa kwa ajili ya kulilipa hilo deni,!!?? Si ni kodi zetu wote,, yaani hapo kama ni namba za kirumi basi tutazisoma wote, kama ni kichina itabidi tukodolee ubao wote katika kusoma
 
Jamani mimi kama sielewi vile,, hv mikataba kuletwa bungeni kurekebisbwa kwa maslahi ya taifa ili baadae tusije tukafikishwa mahakamani na kutakiwa kulipa fidia vinahusiana nini na vyeo au chama fulani,,?? Hili si suala la kitaifa jamani,,!! Sa masuala ya kitaifa watu mnaleta itikadi,! Kwani ikitakiwa ilipwe fidia kuna kodi ya wanachama wa chama fulani tu ndo watakaokatwa kwa ajili ya kulilipa hilo deni,!!?? Si ni kodi zetu wote,, yaani hapo kama ni namba za kirumi basi tutazisoma wote, kama ni kichina itabidi tukodolee ubao wote katika kusoma


Umemsikia Spika wa Bunge letu amesema nini leo alivyokuwa Bandarini?
 
Umemsikia Spika wa Bunge letu amesema nini leo alivyokuwa Bandarini?
We kama ulimsikia spika vizuri alivyoongea na post ya humu kama uliisoma vizuri,kilichokufanya uhamishe mada kutoka kwenye mada ya msingi kwenda kwenye kuongelea vyama na familia zawatu vinahusiana nn,,??
 
Back
Top Bottom