Mwenyekiti BAVICHA John Heche leo amewakurupusha na kuwakamata makada kadhaa wa CCM wakigawa Rushwa katika uchaguzi mdogo wa udiwani huko Serengeti.
Taarifa zinasema mara baada ya kuwakamata makada hao waliwapeleka polisi Serengeti mjini.Inasemekana kukamatwa huko kulisababishwa na mtego uliowekwa na wananchi wenyewe.
Chadema inatarajiwa kupata ushindi mnono kwenye kata hiyo.
Heche amekuwa polisi wa TAKUKURU?
Heche amekuwa polisi wa TAKUKURU?
Heche amekuwa polisi wa TAKUKURU?
Polisi shirikishi.Heche amekuwa polisi wa TAKUKURU?
Mwita Maranya uko kimya sana kamanda. Tupe updates mkuu za Serengeti
Mwita Maranya uko kimya sana kamanda. Tupe updates mkuu za Serengeti
Heche amekuwa polisi wa TAKUKURU?