Hebu tujaribu kufikiri, huenda tukawa akina Einstein wa sasa

mcrounmj

JF-Expert Member
Feb 26, 2016
380
885
Habari GTs wote! Awali ya yote nipende kushare na nyie utata ambao nimeshindwa kufikia mwafaka mimi binafsi. Hii ni kutoka normal life we encounter every day.

Tukio lenyewe lilikuwa hivi, jana nilienda kuuza dhahabu sokoni, nilikuwa nimetenga makundi mawili, let call mzigo x na mzigo y. Mzigo x ulikuwa ni gram 23 ambao baada ya kuyeyusha ulisoma 64℅ purity. Mzigo y ambao ulikuwa 42gram ulisoma 85% purity. Swali ambalo najiuliza ingetokea nikachanganya mzigo ndiyo niyeyushe, inamaana ningekuwa na jumla ya 65gram.

Swali je, purity ingesoma ngapi from mathematical calculation? Hii formula ipo? Na kama haipo can we derive it?
 
Habari GTs wote! Awali ya yote nipende kushare na nyie utata ambao nimeshindwa kufikia mwafaka mimi binafsi. Hii ni kutoka normal life we encounter every day.

Tukio lenyewe lilikuwa hivi, jana nilienda kuuza dhahabu sokoni, nilikuwa nimetenga makundi mawili, let call mzigo x na mzigo y. Mzigo x ulikuwa ni gram 23 ambao baada ya kuyeyusha ulisoma 64℅ purity. Mzigo y ambao ulikuwa 42gram ulisoma 85% purity. Swali ambalo najiuliza ingetokea nikachanganya mzigo ndiyo niyeyushe, inamaana ningekuwa na jumla ya 65gram.

Swali je, purity ingesoma ngapi from mathematical calculation? Hii formula ipo? Na kama haipo can we derive it?
Purity itakuwa 74.5%
 
Sijui purity ndo nini kwanza
Katika dhahabu iliyochimbwa huwa kuna sehemu ya mzigo sio dhahabu, yaani kunakuwa na mchanganyiko wa mchanga au madini mengine ambayo hayakulengwa (impurity) sasa anaposema purity anamaanisha kile kiasi katika mzigo wote ambacho ni dhahabu pure, kwa mfano kama purity ni 25% hapo katika mzigo wote dhahabu halisi (pure) ni ¼ au kwa maneno mengine 25% ya mzigo wote
 
Habari GTs wote! Awali ya yote nipende kushare na nyie utata ambao nimeshindwa kufikia mwafaka mimi binafsi. Hii ni kutoka normal life we encounter every day.

Tukio lenyewe lilikuwa hivi, jana nilienda kuuza dhahabu sokoni, nilikuwa nimetenga makundi mawili, let call mzigo x na mzigo y. Mzigo x ulikuwa ni gram 23 ambao baada ya kuyeyusha ulisoma 64℅ purity. Mzigo y ambao ulikuwa 42gram ulisoma 85% purity. Swali ambalo najiuliza ingetokea nikachanganya mzigo ndiyo niyeyushe, inamaana ningekuwa na jumla ya 65gram.

Swali je, purity ingesoma ngapi from mathematical calculation? Hii formula ipo? Na kama haipo can we derive it?
Haihitaji hata formula hio.
 
Kuna kaformula kalikua kwenye somo la chemistry nadhani f1 au f2 , nikikumbuka nitaileta
 
Habari GTs wote! Awali ya yote nipende kushare na nyie utata ambao nimeshindwa kufikia mwafaka mimi binafsi. Hii ni kutoka normal life we encounter every day.

Tukio lenyewe lilikuwa hivi, jana nilienda kuuza dhahabu sokoni, nilikuwa nimetenga makundi mawili, let call mzigo x na mzigo y. Mzigo x ulikuwa ni gram 23 ambao baada ya kuyeyusha ulisoma 64℅ purity. Mzigo y ambao ulikuwa 42gram ulisoma 85% purity. Swali ambalo najiuliza ingetokea nikachanganya mzigo ndiyo niyeyushe, inamaana ningekuwa na jumla ya 65gram.

Swali je, purity ingesoma ngapi from mathematical calculation? Hii formula ipo? Na kama haipo can we derive it?
Hesabu ya darasa la 7 hii huitaji kuwa einstein

Chukua % purity/100 zidisha kwa uzito wa sample, utapata uzito wa pure gold. Fanya hivyo kwa kila sample (x na y) ukishapata uzito wa pure gold kwa kila sample zijumlishe kisha ugawanye jumla ya uzito wa sample kabla ya kupurify then zidisha kwa 100 hapo utapata ukitakacho.
 
64%+85%=149%
149%÷2=74.5%
Tusipende kuchukulia kila kitu simpo, yaani Wewe ulichokifanya umetafuta wastani wa purity percentage. Hapohapo ujue kila mzigo ulikuwa uzito wake tofauti, hivyo hujaonyesha uzito unahusika wapi kufikia hiyo hesabu yako. Let say mzigo x ni gram 2 na una 64% na mzigo y ni gram 56 na una 85%, je ukitumia hiyo njia yako ya wastani unadhani jibu litakuwa sahihi?
 
Tusipende kuchukulia kila kitu simpo, yaani Wewe ulichokifanya umetafuta wastani wa purity percentage. Hapohapo ujue kila mzigo ulikuwa uzito wake tofauti, hivyo hujaonyesha uzito unahusika wapi kufikia hiyo hesabu yako. Let say mzigo x ni gram 2 na una 64% na mzigo y ni gram 56 na una 85%, je ukitumia hiyo njia yako ya wastani unadhani jibu litakuwa sahihi?
Naomba ufanye wewe kwa jinsi uonavyo. Mimi uwezo wangu umekomea hapo.
 
Hesabu ya darasa la 7 hii huitaji kuwa einstein

Chukua % purity/100 zidisha kwa uzito wa sample, utapata uzito wa pure gold. Fanya hivyo kwa kila sample (x na y) ukishapata uzito wa pure gold kwa kila sample zijumlishe kisha ugawanye jumla ya uzito wa sample kabla ya kupurify then zidisha kwa 100 hapo utapata ukitakacho.
Hapo mkuu umenena vema, nimeelewa bila chenga, ila kusema ukweli siyo darasa la saba, labda huko vidatoni ndo kuna vitu vya hivi. Asante
 
Naomba ufanye wewe kwa jinsi uonavyo. Mimi uwezo wangu umekomea hapo.
Mfano, njia aliyotoa Ticktock dork, tuchukulie hiyo 2g of 64% mzigo x na 56g of 85% mzigo y, then purity after mixture could be;
2g×64%=1.28g of pure gold x
56g×85%=47.6g of pure gold y
Then,
1.28g+47.6g=48.8g of pure gold
2g + 56g = 58g of impure gold
Therefore;
48.8g of total pure gold
```````````````````````````````` ×100%=84.28%
58g of total impure gold
Hivyo asilimia itasoma 84.28%

Lakini kwa njia yako jibu lazima libaki kuwa 74.5% licha ya kuwa mzigo x umepungua uzito
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Mfano, njia aliyotoa Ticktock dork, tuchukulie hiyo 2g of 64% mzigo x na 56g of 85% mzigo y, then purity after mixture could be;
2g×64%=1.28g of pure gold x
56g×85%=47.6g of pure gold y
Then,
1.28g+47.6g=48.8g of pure gold
2g + 56g = 58g of impure gold
Therefore;
48.8g of total pure gold
```````````````````````````````` ×100%=84.28%
58g of total impure gold
Hivyo asilimia itasoma 84.28%

Lakini kwa njia yako jibu lazima libaki kuwa 74.5% licha ya kuwa mzigo x umepungua uzito
Uko sahihi.

Wazo jingine.

Tafuta gram za impurity.

Then

Add them

After.

Take gram of impurity divide by total gram of gold with impurities. Multiply by 100.

Utapata percentage ya impurity.

Then take 100 minus percentage of impurities you will get percentage of pure gold.

Like that.


Ila formula sijajua.

Mimi nimepata 77.53% of pure gold.
 
Habari GTs wote! Awali ya yote nipende kushare na nyie utata ambao nimeshindwa kufikia mwafaka mimi binafsi. Hii ni kutoka normal life we encounter every day.

Tukio lenyewe lilikuwa hivi, jana nilienda kuuza dhahabu sokoni, nilikuwa nimetenga makundi mawili, let call mzigo x na mzigo y. Mzigo x ulikuwa ni gram 23 ambao baada ya kuyeyusha ulisoma 64℅ purity. Mzigo y ambao ulikuwa 42gram ulisoma 85% purity. Swali ambalo najiuliza ingetokea nikachanganya mzigo ndiyo niyeyushe, inamaana ningekuwa na jumla ya 65gram.

Swali je, purity ingesoma ngapi from mathematical calculation? Hii formula ipo? Na kama haipo can we derive it?
Kwa hesabu ya haraka ingesoma 77.57%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom