Hebu ona hii hapaaa!

mpemba mbishi

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2011
Posts
1,132
Reaction score
188
Mzee wa Kipemba kaletewa habari mwanawe kafa Makkah.
Mzee akasema; "Nkusudiii! Ee ntu alikua yukwao Pemba ninzimaa, kankwenda nchezea Mungu nyumbanikwe! asife angoje nii!"
 
Aisee zinachekesha nikijitekenya hadi basi.
 
Kusema za ukweli sijaelewa na kwahiyo sijachekeshwa kabisaaaaa.
 
Usi-undermine race nzima ya wapemba sababu ya mtu mmoja, its not fair.
Kuna actor mwanaume, mkongwe nimemsahau jina, aliwahi sema hadharani kwamba ana-support Aldolf Hitler kuua Jews.

Ilimcost sana, japo aliomba msamaha in public lakini haikusaidia.
Hata kama hatujuani kwa hizi ID, kuponda wapemba wote sababu ya mtu mmoja, hell NO.

 

Mkuu kwani ilikuaje hata ukafika huku! Kumbuka hoja hujibiwa kwa hoja sio kubwabwaja..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…