Hebu mjue shitambala....ni hafai kabisaaaa

VPN USED2020OCTOBER28

JF-Expert Member
Oct 27, 2011
1,505
671
1458833767335.jpg

Kwa taaluma ni mwanasheri pia ni mwanasiasa ambaye haeleweki kabisa ... Toka awe mwanasheria wa kujitegemea hajawahi kushinda kesi hata moja kazi ni kuwalaghai wateja wake....


Kwanza alikuwa chadema akafanya mambo ya ajabu ajabu huko chadema mpaka akafukuzwa akahamia chama cha mapinduzi mpaka kwenye kampeni za last year akaenda mbali zaidi mpaka kusema kuwa hakuna wasomi kwenye kabila LA wasafwa yaani msomi ni yeye peke yake na ndiyo maana wanambeya hawakuthubutu kumpa kura!!!!


Anachokifanya sasa hivi baada ya kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa mwaka Jana 2015 sasa analaghai wananchi kwa kusimamia kesi ambazo ni za ardhi. Yaani anatetea watu ambao hawana hati ya viwanja kazi yake ni kukwepa kufika mahakamani sababu ya aibu yake anavyovurunda katika kesi anazokuwa anatetea wateja wake!!!!

Hana misimamo!!! Hafai kuwa kiongozi hata wa kuwa balozi wa nyumba kumi
 
Sina hamu naye. Jamaa alikua na uhakika wa kushinda na alikua Jembe kwelikweli CHADEMA, Wakina nape wakamfuata, akapewa kitu kidogo siku ya kurudisha fomu akaenda kugongesha muhuri sehemu isiyotakiwa ili tume imuengue. Baada ya kuenguliwa akaitisha maandamano eti kaonewa.

Mwisho wa siku CHADEMA wakamsitukia. Hii ishu aliisimamia Mbowe mwanzo mwisho, aliishia kuzungusha kichwa kwa kusikitika walivokuwa wanatumia nguvu hadi zitto alienda. Mwisho wa siku Shitambala akaenda Dodoma kupewa kadi na Kikwete kishujaa eti amerudi nyumbani CCM.

Jamaa ana moyo.
 
Raha sana watu wenye akili timamu tupi mjini ....hatutaki hawa wachumia tumbo.....na hatutawachagua kamwe
 
Huyo msanii sana anajidai TISS wamemuka hapo alipo msanii tu mganga njaa!!
 
View attachment 332337
Kwa taaluma ni mwanasheri pia ni mwanasiasa ambaye haeleweki kabisa ... Toka awe mwanasheria wa kujitegemea hajawahi kushinda kesi hata moja kazi ni kuwalaghai wateja wake....


Kwanza alikuwa chadema akafanya mambo ya ajabu ajabu huko chadema mpaka akafukuzwa akahamia chama cha mapinduzi mpaka kwenye kampeni za last year akaenda mbali zaidi mpaka kusema kuwa hakuna wasomi kwenye kabila LA wasafwa yaani msomi ni yeye peke yake na ndiyo maana wanambeya hawakuthubutu kumpa kura!!!!


Anachokifanya sasa hivi baada ya kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa mwaka Jana 2015 sasa analaghai wananchi kwa kusimamia kesi ambazo ni za ardhi. Yaani anatetea watu ambao hawana hati ya viwanja kazi yake ni kukwepa kufika mahakamani sababu ya aibu yake anavyovurunda katika kesi anazokuwa anatetea wateja wake!!!!

Hana misimamo!!! Hafai kuwa kiongozi hata wa kuwa balozi wa nyumba kumi
Ni aibu sana kuwa na kiongozi aina ya Shitambala , yaani Mwanasheria hajawahi kushinda hata kesi ya wizi wa simu !

Hakika ccm haina watu Mbeya , eti huyu ndio alikuwa mgombea ubunge !
 
Sina hamu naye. Jamaa alikua na uhakika wa kushinda na alikua Jembe kwelikweli CHADEMA, Wakina nape wakamfuata, akapewa kitu kidogo siku ya kurudisha fomu akaenda kugongesha muhuri sehemu isiyotakiwa ili tume imuengue. Baada ya kuenguliwa akaitisha maandamano eti kaonewa.

Mwisho wa siku CHADEMA wakamsitukia. Hii ishu aliisimamia Mbowe mwanzo mwisho, aliishia kuzungusha kichwa kwa kusikitika walivokuwa wanatumia nguvu hadi zitto alienda. Mwisho wa siku Shitambala akaenda Dodoma kupewa kadi na Kikwete kishujaa eti amerudi nyumbani CCM.

Jamaa ana moyo.
Huu usaliti wake utamtafuna hadi mwisho wa uhai wake
 
Huyu Jamaa nilivyokuwa Mbeya nilisikia sana story zake.... Jamaa anaishi kimbinu mbinu sana kesi kibao nasikia anapigwa chini..... Kuna jamaa wakawa wsnahoji labda alifanya magumashi kwenye vyeti au ndiyo zile elimu zetu tunasomea mitihani tu.... Kashfa nyingine anaukabila sana huyu jamaa.... Alikuwa anawaambia watu sasa hivi ni zamu ya wasafwa kuongoza mbeya na yeye ndiye msomi kwenye hilo kabila..... Wakamuuliza kwani sasa hivi tunaongozwa na kabila gani? Akajibu mbunge Sugu ni mnyakyusa...... Watu wakamwambia mzee Sugu sio mnyakyusa......
 
Huyu Jamaa nilivyokuwa Mbeya nilisikia sana story zake.... Jamaa anaishi kimbinu mbinu sana kesi kibao nasikia anapigwa chini..... Kuna jamaa wakawa wsnahoji labda alifanya magumashi kwenye vyeti au ndiyo zile elimu zetu tunasomea mitihani tu.... Kashfa nyingine anaukabila sana huyu jamaa.... Alikuwa anawaambia watu sasa hivi ni zamu ya wasafwa kuongoza mbeya na yeye ndiye msomi kwenye hilo kabila..... Wakamuuliza kwani sasa hivi tunaongozwa na kabila gani? Akajibu mbunge Sugu ni mnyakyusa...... Watu wakamwambia mzee Sugu sio mnyakyusa......
Yaani hafai hats kidogo
 
Eti nae alikua anashindana na Sugu,chezea Mbilinyi wewe alimpiga kabla misa ya kwanza haijaisha siku ile ya uchaguzi!
Hahahaa! umenikumbusha ule msemo aliokua anasema "ne mwana wapipa",Sugu akaja kumjibu kua utakua "mwana wa ndoo".
 
Back
Top Bottom