hata hivo naona kama amejitahidi,, maana kama hakuna mtaala, hakuna andalio la kufundishia,, hakuna mazingira mazuri ya motisha,, hahahh mwalimu akajitoa akafundisha kwa elimu yake ya brush alopata kwa mazingira magumu, akiwa anafikiria amalize kufundisha saa ngapi akafanye angalau kakibarua au kazi ya bodaboda,, unadhan pataeleweka apo?
yote tisha nimesoma trend moja inasema kwamba matokeo ya darasa la saba ni mabaya kuliko wakati mwingine wowote katika muongo moja uliopita hivo sishangai,,, poleni saana wanenu,, mnaosoma sasa,,, inshallal Mungu atawajalia mtafika japo kwa mazingira magumu hahah