Hebu fungukeni...



Mbona hueleweki hebu fafanua ni kweli au si kweli naona unajikanyaga tu nimekukolezea ili ujirekebishe!!!!
:behindsofa:
 
Madewa, utamu wa kitu ni Mate yako tuuuuuuuuuuuu
 
Last edited by a moderator:

Hahahahahahahaaaa...mkuu umenichekesha sana daah... Mkuu me sijaoa,wembamba nshatest,sema nasikia hizo tetesi,ka ni kweli mkuu kuwa wanene ni watamu,siwezi kujinyima raha bwana,maisha yenyewe mafupi.
 
arrrghhhh! Unataka kujua ladha yao ili iweje?
 
Huenda kuna ukweli,ngoja nijaribu...
 
Dah hata sijui mpaka nijionje...huu uzi upo more based kwa wanaume...
 

mimi nachojua..speaking from experience ni wanawake wanene wananuka nuka mkuu...so watch out..!!
 
kuku aliyenona na asiyenona yupi mtamu?

naomba kuuliza maan niko sokoni hapa napata tabu maana hizi siasa za wachuuzi zinanichanganya tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…