Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,578
- 1,817
[h=5]Miaka michache ijayo IBADA zinaweza kuwa hivi;
Mchungaji; "Bwana asifiwe!
Waumini; Ameen!
Mchungaji; "Tuchukue Laptops, iPad, Tablets na Simu zetu tufungue Wakorintho 13:13!
Pia washeni Bluetooth ili mpokee Mahubiri kwa wanaotumia facebook, twitter, BBM mnaweza kunifuatilia huko!"
Baada ya muda kidogo mchungaji ; "Wapendwa sasa ni wakati wa sadaka, unaweza kumtolea Mungu kwa M-Pesa, Tigo Pesa, Ezy Pesa na Airtel Money mbarikiwe sana wapendwa...[/h]
Mchungaji; "Bwana asifiwe!
Waumini; Ameen!
Mchungaji; "Tuchukue Laptops, iPad, Tablets na Simu zetu tufungue Wakorintho 13:13!
Pia washeni Bluetooth ili mpokee Mahubiri kwa wanaotumia facebook, twitter, BBM mnaweza kunifuatilia huko!"
Baada ya muda kidogo mchungaji ; "Wapendwa sasa ni wakati wa sadaka, unaweza kumtolea Mungu kwa M-Pesa, Tigo Pesa, Ezy Pesa na Airtel Money mbarikiwe sana wapendwa...[/h]