Le mutuz ana akili ya social media tu, mengine awaachie wasomi na wenye maarifa ya mambo ya msingiLe Mutuz anasema tumpe siku mbili atakuja na ufafanuzi wa trillion 1.5.
Huu ni wakati wa mavuno, Musiba amepata, Polepole sasa Le Mutuz
Lakini kulisafisha jiwe ni kazi
How does English relate with the theft our Tsh 1.5 Trillions? the thief who stole our money is so poor in English,that he even fears to fly overseas.Well, you've tried to, but in a total broken kiingereza. Better go back to english evening class to polish your tongue!
Chukua hatua sio unaililia tu ili iwejeyaaani siku zote umdhaniaye siye ndio mwenyeweeee. kachota bila aibu. ukikumbuka stori za alivyoingia madarakani ooh watu wataishi kama mashetani,kawatumbua weee tukapata matumaini rais dictator tunaye tuliokuwa tunamtafuta tumempata,doooohh nakulilia Tanzania nchi yangu.....
Le mutuz ana akili ya social media tu, mengine awaachie wasomi na wenye maarifa ya mambo ya msingi
How does a tongue text?You are mentally sick!!!Well, you've tried to, but in a total broken kiingereza. Better go back to english evening class to polish your tongue!
Achana na kingereza tunataka hela zetu huyu ndiye mlituambia mzalendo?Haujui Kiingereza!
Chukua hatua sio unaililia tu ili iweje
nimecheka mpaka katibu muhtasi wangu kastuka !Le Mutuz anasema tumpe siku mbili atakuja na ufafanuzi wa trillion 1.5.
Huu ni wakati wa mavuno, Musiba amepata, Polepole sasa Le Mutuz
Lakini kulisafisha jiwe ni kazi
Ni wakati wa kubeba makapu ya hela mkuunimecheka mpaka katibu muhtasi wangu kastuka !
tr 1.5 si mchezo mjomba , acha wagawane tuNi wakati wa kubeba makapu ya hela mkuu
Eti cha mtu anakaa Ulaya!!
Kwani unalazimishwa kuandika hata kama hukijui? Kwani huyu jamaa hajui Kiswahili mpaka atuandikie Kiingereza cha MABUDIKWA?Andikeni cha kwenu tukione.
Kwani JIWE anajua? hoja hapa ni moja trillion 1.5 imepotelea wapi?Haujui Kiingereza!
Kwani unalazimishwa kuandika hata kama hukijui? Kwani huyu jamaa hajui Kiswahili mpaka atuandikie Kiingereza cha MABUDIKWA?
sio kila nchi Ulaya wanatumia English...exposure kitu muhimu hata jiwe anakosaEti cha mtu anakaa Ulaya!!
Lugha uliyoandika tu ina akisi uwezo wako wa akili. Sidhani hata kama ukielimishwa kwa hoja utaelewa!Hili jiwe ni nouma sana yaani halichagui linapiga kotekote kuanzia rambirambi, migodini mpaka hazina kuu, back then lilitupiga kwenye kuuza nyumba, na MV Dar es Salaam, lakini pia limetusababishia hasara kwenye kuvunja petrol station kule mwanza, "samaki wa magufuli" na katika kuvunja mkataba uliosababisha kukamatwa kwa bombardier.
The dude is good for nothing, he only fit to be used as a case study when a bad example is needed