Hd ready 32'' sharp flat tv inauzwa

Hd ready 32'' sharp flat tv inauzwa

Madoido

Senior Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
134
Reaction score
15
Wadau nauza FLAT TV HD READY SHARP 32 INCHES INA HDMI CONNECTIONS...INA HALI NZURI USED NIMETUMIWA NA RAFIKI YANGU TOKA JAPAN.....BEI 750,000 MAONGEZI YAPO...NIPO DAR CITYCENTRE...KAMA UPO SERIOUS NI PM..KARIBUNI NA NAWAKILISHA
 
Mkuu, "Used" halafu unauza bei kubwa hivyo!!!
 
PowerG Hiyo bei inazungumzika sana tu, si unajua wabongo,,,discount muhimu
 
ni LED au LCD???

mkuu nina laki nne na nusu...:A S tongue:
 
Nashukuru kwa kushow up, jamani LAKI NNE NA NUSU HAILIPI,,TV NI NZURI SANA FLAT NA NI ZILE NZITO HATA KUBEBA UNAJISIKIA UMESHIKA KITU....OFCOURSE SCREEN YAKE NI LIQUID CRYSTALLED DEUD..IKO POA MWENYE OFA NZURI MI NAMPA
 
Wadau nauza FLAT TV HD READY SHARP 32 INCHES INA HDMI CONNECTIONS...INA HALI NZURI USED NIMETUMIWA NA RAFIKI YANGU TOKA JAPAN.....BEI 750,000 MAONGEZI YAPO...NIPO DAR CITYCENTRE...KAMA UPO SERIOUS NI PM..KARIBUNI NA NAWAKILISHA

mkuu me nitakupa 550,000 unasemaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom