Mambo mengi aliyofanya Magufuli pamoja na viongozi wengi aliowateua walitokana na TISS. Hata Bunge lenyewe limejaa TISS. Mama kashaondoa wakuu wawili wa TISS ikimaanisha hawafanyi anavyotaka.
Swali langu ni Je mama anataka nini? Kupangua mambo ya TISS hao hao waliyoyatekeleza wakati wa Magufuli au?
Trump aliwahi kumuuliza Comey can I have your loyalty?. Comey alishituka sana na akaandika hilo swali kwenye notebook yake.
Huenda Mama nae anatafuta loyalty ya hawa TISS ndio maana anawapangua pangua. TISS ni kama buibui Rais ukijifanya inzi wanakutanda tu.
Swali langu ni Je mama anataka nini? Kupangua mambo ya TISS hao hao waliyoyatekeleza wakati wa Magufuli au?
Trump aliwahi kumuuliza Comey can I have your loyalty?. Comey alishituka sana na akaandika hilo swali kwenye notebook yake.
Huenda Mama nae anatafuta loyalty ya hawa TISS ndio maana anawapangua pangua. TISS ni kama buibui Rais ukijifanya inzi wanakutanda tu.