VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Stori yake inatia simanzi
Ukizingatia aliyetonya siri haoni chake kibanzi.
Hakika,ni simanzi kubwaStori yake inatia simanzi
Ukizingatia aliyetonya siri haoni chake kibanzi.
Kadri ya siku zinavyokwenda ndio unazidi kuonyesha unazi wako wa ufipa street. Pole sana kwa kushindwa maigizo.Hakika,ni simanzi kubwa
Mzee Tupatupa
Ukombozi waja ZnZ na bara. Ile laana/wosia aliotoa kukataa kuzikwa na dola ovu!! ni mauti ya dola hiyo!! Dalili ni tosha sasa!! Mene mene tekeli na peresi CCM, JPM,BM,JK, na wateule wote!!Msiba umetukumba watanzania. Aliyekuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Tanzania,Hayati Aboud Jumbe Mwinyi ametutoka. Ametangulia mbele ya haki. Alale mahali pema peponi,Amina.
Jumbe,aliyezaliwa tarehe 14/6/1920 huko Juba,Sudan Kusini(wakati huo ikiitwa Anglo Egyptian Sudan),amewahi pia kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa. Amepata kuwa Rais wa Zanzibar kuanzia tarehe 7/4/1972 hadi tarehe 30/1/1984.
Mwaka 1984,mwezi Januari,Hayati Jumbe alitoka Zanzibar na kwenda Dodoma kuwajibika kama kiongozi wa chama tawala na Serikali. Akapoteza nyadhifa zake zote za kiserikali na kichama. Hayati Jumbe 'hakuruhusiwa' kurejea Zanzibar. Badala yake aliishi Mjimwema,Kigamboni Dar es Salaam tangu mwaka huo hadi mauti yanamkuta mwaka huu.
Kwa miaka zaidi ya 32,Hayati Jumbe ameiacha Zanzibar yake. Hakwenda wala kuiona tena.Amerejeshwa huko kwenda kuzikwa. Hakuwa kama alivyotoka. Ndiyo maana nasema,ametoka kwenda kuwajibika na amerudi kupumzika. Chamani na Serikalini,Hayati Jumbe alikuwa mzazi wetu,kiongozi wetu,mshauri wetu na mfano wetu. Hoja zake zitaishi daima!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Si mchezoUkombozi waja ZnZ na bara. Ile laana/wosia aliotoa kukataa kuzikwa na dola ovu!! ni mauti ya dola hiyo!! Dalili ni tosha sasa!! Mene mene tekeli na peresi CCM, JPM,BM,JK, na wateule wote!!
Hakika,ni simanzi kubwa
Mzee Tupatupa
Usituchukie wote tafadhali binti yangu TettyMzee wangu SIMANZI ya nini nanyie mlimnyang'anya kila kitu hata kadi yake ya CCM mliichukua.Mkamnyang'anya hata haki yake ya kutoka nje kuota jua.Leo mnalia nini??Mzee wangu kuna wakati mfiche unafiki hata kidogo.Na alivyowamaliza kawakatalia kuzikwa na CCM pamoja na serikali,ametaka kuzikwa kama mwananchi ,muislamu wa kawaida.Serikali ya CCM ni wakati wa kujitafakari sasa namna mnavyoumiza raia wanaopinga matendo na mienendo yenu.
CCM imeumiza watu wengi sana na wengi wameishia kufa kwa simanzi na uchungu.Ndiyo sababu inayonifanya niichukie CCM kuliko hata shetani
Akanyang`anywa haki yake ya kutoka nje kuota jua? Hivi kwa nini mnapenda stori za uongo?Mzee wangu SIMANZI ya nini nanyie mlimnyang'anya kila kitu hata kadi yake ya CCM mliichukua.Mkamnyang'anya hata haki yake ya kutoka nje kuota jua.Leo mnalia nini??Mzee wangu kuna wakati mfiche unafiki hata kidogo.Na alivyowamaliza kawakatalia kuzikwa na CCM pamoja na serikali,ametaka kuzikwa kama mwananchi ,muislamu wa kawaida.Serikali ya CCM ni wakati wa kujitafakari sasa namna mnavyoumiza raia wanaopinga matendo na mienendo yenu.
CCM imeumiza watu wengi sana na wengi wameishia kufa kwa simanzi na uchungu.Ndiyo sababu inayonifanya niichukie CCM kuliko hata shetani