Haya yanatokea Zanzbar tu?

Ingekua uku bongo ungechomwa moto na kufa kabisa, sasa una lalamika nini si ume lawitiwa tu!!! Acha wizi wewe nenda kacheki Pregnant kwanza.......

Inaonyesha wewe kwako kulawitiwa sio tatizo kwa kua ulishazoea
 

Inaonekana kabisa unachosema hakikuwa guided na human third birth gifts that encompasses Mental IQ, Physical IQ, Emotional IQ and Spiritual IQ. Utanisamehe mtu mwenye kuongozwa na hizo 4 intelligences of nature hawezi kuandika kihivyo.....ungetafiti na kuulizia ukajua kwanza, na unatetea uongo na mawazo yako mgando.
 

Hao wanaolawiti wenzao wanaweza kujiona wajanja lakini UKIMWI utakapowayemelea kwa ukatili huu ndo watajua ni bora wangempeleka polisi.
 
sasa mleta maada, wewe ndio unafatilia hizo habari za wabara walioko Zanzibar na matatizo yao au vipi?
yaani baada ya kuleta maada ya faida ya jamii, wewe ndio kwanza unachocheza uzanzibar na ubara.
ni upuuzi kuleta hapa, ulitakiwa usaidie kutatua tatizo na sio kuzidisha tatizo
 
we jamaa rudi bara haraka maana wakiona bandiko lako watakulawiti kama huyo mwizi
 
Mwanzisha mada kama uko hapa zenji ondoka haraka..

Umeandika ipuuzi na unafiki...pole...zanzibar ni ya wazanzibar...ishi wanavyotaka wanzanzibar....wewe ni mgeni miaka yote
 
Ubaguzi upo kila kona, kwa sisi tuliozaliwa huku na kukulia huku, mmh ni shida, kabla ya vyama vingi kwa kweli haya mambo hayakuwepo kabisa, vyama vingi vilipoanza tu, hii kitu ikajitokeza, kuna ubaguzi mkali sana huku,
 
Kwani ulikuwa haujui kama wazenji ni Wabaguzi na wabinafsi mpaka kesho,iyo ni asili yao na iko ktk damu yao,ayo ni matukio ya maisha bora kutoka Kwa mkulu,kukataa kuwapa zenji yao wajitawale.
 

Wewe umesaidia kivipi zaidi ya kulaumu!
 
Mwanzisha mada kama uko hapa zenji ondoka haraka..

Umeandika ipuuzi na unafiki...pole...zanzibar ni ya wazanzibar...ishi wanavyotaka wanzanzibar....wewe ni mgeni miaka yote

Je na huku bara tulianzishe kwa wajomba zenu??
 
Hizi blah blah tuuuuu. HAKUNA BIN ADAM ASIYE MBAGUZI..... Mnaojiita Tanzania Bara ndo mlijipendekeza kwao na mkaiasi nchi yenu Tanganyika ... Wacha mlawitiwe tu, wizi haushabikiwi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…