Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,822
habari zenu wapendwa wote.lengo kubwa leo nahitaji msaada wa kimawazo mimi mwenyewe nashindwa.nimefanikiwa kuwa kwenye mahusiano miaka miwili sasa,na nina mtoto mmoja na huyohuyo muhusika.katika muda huo mwanzo maisha yalikuwa ya amani sana mpk mtoto alivyopatikana,baada ya miezi sita kupita ugomvi kila siku,mnasuluhisha leo keshokutwa tena,nimevumilia sasa nahisi kushindwa mwenzangu hana lugha nzuri ya mawasiliano,mapenzi ni kitu cha ajabu sana kila mtu anapenda kujaliwa.mimi imefikia mahali mpaka nawaza kuanzisha mahusiano mapya....namwelewesha my mzazi mwenza hakuna kitu.nilifikiri atakuwa na mwingine nikafanya research hana mtu.tatizo ni nini,hebu nisaidieni jamani,