del moe
JF-Expert Member
- Apr 4, 2016
- 827
- 1,023
Ukiangalia photo hapo... Huo ni mtihani wa upimaji darasa la nne ngazi ya wilaya.
Nijambo zuri sana na nampongeza afisa elimu wa wilaya hiyo kwa kujali watoto wetu. Kinacho nishangaza
1.mtihani mhimu kama huu umeandikwa ubaoni maswali yote 25 ikiwemo na comprehension
Najaribu kuwaza kwa sauti maisha ya Leo na kukua kwa tekinolojia bado walimu wetu wanandika mtihani ubaoni?
2 angalia ubao , umechimbika kisi kwamba unaweza panda mgomba na ukaota vizuri tu!
Hivi afisa elimu hilo umelizingatia? Bado vitisho umeona hiyo scene shot wakifelisha wanajieleza....
Ombi langu mamlaka husika wasaidieni walimu wetu
View attachment 779702
Nijambo zuri sana na nampongeza afisa elimu wa wilaya hiyo kwa kujali watoto wetu. Kinacho nishangaza
1.mtihani mhimu kama huu umeandikwa ubaoni maswali yote 25 ikiwemo na comprehension
Najaribu kuwaza kwa sauti maisha ya Leo na kukua kwa tekinolojia bado walimu wetu wanandika mtihani ubaoni?
2 angalia ubao , umechimbika kisi kwamba unaweza panda mgomba na ukaota vizuri tu!
Hivi afisa elimu hilo umelizingatia? Bado vitisho umeona hiyo scene shot wakifelisha wanajieleza....
Ombi langu mamlaka husika wasaidieni walimu wetu