Haya mapenzi au uzuzu?
unakuta mwanaume anaosha vyombo mke katulia mwanaume anachambua tembele mke-" katulia kuna jilani yetu hapa anaosha vyombo mpaka kufagia hv mwanaume hana kauli hata wazazi wake wakimuamuru kitu mke akisema No! ndo basi haina m-badala hv ukipenda sana ndo inakua hv au
MAONI YENU