Saniniu Laizer Mungu anakuonaaa
Unatufanya tuokote kila mawe tukitegemea kutusua kama wewe
@amu bwana gerto green ndio madini gan?Hiyo ni gerto Green.
Nimeflow mule mule naona kila mtu anasema Green whatever.@amu bwana gerto green ndio madini gan?
Hajanifokea.Acha kumfokea mwenzio
Itakuwa ni green garnet yenye low qualityKwa anaeweza kufaham haya ni madini au mawe yapi naomba ufafanuziView attachment 1529308View attachment 1529309
Ahaaa,,,Saniniu Laizer Mungu anakuonaaa
Unatufanya tuokote kila mawe tukitegemea kutusua kama wewe
Naomba tusifungiwe JF kabisaaa kwani kuna wataalamu wa uhakika sana. Dah!! Mwambiye asicheleweHiyo Ni Uranium Kaka, Ni hatari na Ni Kama nyara ya serikali, tafadhali muone biteko fasta
Ni ishara gan umeona hadi useme namfokea mwenzangu?Acha kumfokea mwenzio