Haya ni madini gani?

DIBAJI

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
391
Reaction score
513
Wiki kama tatu zimepita nimewahi kuuliza kuhusiana na picha za mawe nilizoziweka hapa wengi walishauri niendelee kuhimiza vijana wachimbe zaidi ili kupata madini mengine, hivyo nami nilifanya kama nilivyopewa maelekezo, Leo nimekuja tena mniambie haya mawe ni madini gani na bei yake iko vipi sokoni?, karibuni.
 
Poa nawasubiri wanipe majibu hapa hapa.
 
Naona hapo kama kuna Ruby,Green tomaring,mengine ata siyaelewi
 
Hapo naona kuna amethyst,kuna green tourmaline,hizo zingine hazionekani vizuri nmeshindwa tambua

Ova
 
Nmeona Topaz ambayo ni nyeupe na njano na Blue sapphire. Kama uko mikoa ya Kusini njoo PM nikuunge na wadau au wanunuz!!!!
Toa majibu mkuu, nipe majina yake pamoja na soko lake kwa ujumla kama una uzoefu nayo.
 
Kama Una iolite nitafute Nna order nzuri

Ova
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…