Kaplizer JF-Expert Member Joined Apr 27, 2014 Posts 726 Reaction score 596 Jul 19, 2017 #41 Duuh kweli maisha magumu watu mawe wanajua n mali.. Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
Duuh kweli maisha magumu watu mawe wanajua n mali.. Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
massimu jr JF-Expert Member Joined Oct 13, 2016 Posts 542 Reaction score 595 Jul 22, 2017 Thread starter #42 UNIVERSE said: Yap, uko sahihi nami naona kama quartz ambayo ni aina ya silicate mineral isiyo na thamani sana. Click to expand... Thaman yake ni bei gan Sent using Jamii Forums mobile app
UNIVERSE said: Yap, uko sahihi nami naona kama quartz ambayo ni aina ya silicate mineral isiyo na thamani sana. Click to expand... Thaman yake ni bei gan Sent using Jamii Forums mobile app
UNIVERSE JF-Expert Member Joined Mar 2, 2015 Posts 587 Reaction score 561 Jul 22, 2017 #43 massimu jr said: Thaman yake ni bei gan Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sifahamu bei yake hasa ila kiujumla hayana thamani. Zipo aina nyingine za quartz zenye thamani ambazo ni rose quartz, amethyst, bluish quartz. Faida kubwa ya hio mineral katika picha ni katika kufanyika kwa mchanga ambao umuhimu wake kila mtu anafahamu.
massimu jr said: Thaman yake ni bei gan Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Sifahamu bei yake hasa ila kiujumla hayana thamani. Zipo aina nyingine za quartz zenye thamani ambazo ni rose quartz, amethyst, bluish quartz. Faida kubwa ya hio mineral katika picha ni katika kufanyika kwa mchanga ambao umuhimu wake kila mtu anafahamu.
chinchilla coat JF-Expert Member Joined May 16, 2016 Posts 5,107 Reaction score 10,979 Jul 22, 2017 #44 Silicon..?
hazole1 JF-Expert Member Joined Jan 3, 2015 Posts 4,319 Reaction score 3,919 Jul 22, 2017 #45 Hayo sio madini ni mawe kama yalivyo mawe mengine Sent using Jamii Forums mobile app
TEAM VIBAJAJI JF-Expert Member Joined Oct 9, 2016 Posts 1,858 Reaction score 2,301 Jul 22, 2017 #46 massimu jr said: Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hayo mawe yanachimbwa kibirashi na maeneo ya kwenyengwe handeni wanaenda kutengenezea tiles
massimu jr said: Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Hayo mawe yanachimbwa kibirashi na maeneo ya kwenyengwe handeni wanaenda kutengenezea tiles
Mburu kidudu JF-Expert Member Joined Jun 7, 2016 Posts 532 Reaction score 541 Jul 22, 2017 #47 jaza ujazwe Sent using Jamii Forums mobile app
Jerry pro Member Joined Oct 14, 2023 Posts 5 Reaction score 3 Dec 1, 2023 #48 je hii ni aina gan ya madini
R Ranger9 JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 1,613 Reaction score 3,015 Dec 1, 2023 #49 massimu jr said: Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Madini au mawe tu