Champion_Boy
Member
- Jul 13, 2018
- 40
- 111
New York Times inaripoti kuwa Israel itajikita kulenga “maghala ya makombora ya Iran, vituo vya uzalishaji na launchers,”
Huku Marekani ikitarajiwa kulenga “mradi wa nyuklia wa Iran na malengo mengine yanayohusiana na kikosi chenye nguvu cha Islamic Revolutionary Guard Corps pamoja na serikali.”
Huku Marekani ikitarajiwa kulenga “mradi wa nyuklia wa Iran na malengo mengine yanayohusiana na kikosi chenye nguvu cha Islamic Revolutionary Guard Corps pamoja na serikali.”