Haya ndiyo maamuzi ya kiume

Haya ndiyo maamuzi ya kiume

Huyu jamaa alikuwa anatafuta sababu ya kumwacha huyo mwanamke, na inawezekana anashindwa kushughulika pa kitanda..... Ila mweeeh! kufumaniwa kusikie kwa jirani......
 
Hakuna cha kumsifia maana kalipiza wema kwa ubaya, kumdhalilisha kote huko bado mnaona ni shujaa? Hapo ni sawa na kumuua mtu huku unamchekea.
Hiyo mi naona kamsamehe sana aisee, sidhani kama angekuwa mwingine hapo jamaa angeondoka na viungo vyote
 
Nimesikia hapo wanaomba mchungaji aombe. Sasa Mungu nnayemjua mimi anasema samehe saba mara sabini. Unless kama wana mungu wao tofauti.
Picha wametunza kumbukumbu tu mkuu kama ushahidi maana mtu akikufanyia ubaya hata kama umemsamehe unahitaji vielelezo kwa kuwa mbali ya dini tunaishi katika ulimwengu unaoishi kwa kufuata misingi ya sheria (maana anaweza akatoka hapo akachukua mke wa jirani na siku nyingine akachukua mtoto wa jamaa ama akatoka hapo akaanza kusambaza maneno ya kashifa kwa mwenye mke hizo picha zinabaki kama kielelezo tatizo tu hapo wachukua picha ni wengi na ndio maana video imesambaa)
 
Huyu jamaa alikuwa anatafuta sababu ya kumwacha huyo mwanamke, na inawezekana anashindwa kushughulika pa kitanda..... Ila mweeeh! kufumaniwa kusikie kwa jirani......
😀😀😀Aaah
 
Picha wametunza kumbukumbu tu mkuu kama ushahidi maana mtu akikufanyia ubaya hata kama umemsamehe unahitaji vielelezo kwa kuwa mbali ya dini tunaishi katika ulimwengu unaoishi kwa kufuata misingi ya sheria (maana anaweza akatoka hapo akachukua mke wa jirani na siku nyingine akachukua mtoto wa jamaa ama akatoka hapo akaanza kusambaza maneno ya kashifa kwa mwenye mke hizo picha zinabaki kama kielelezo tatizo tu hapo wachukua picha ni wengi na ndio maana video imesambaa)
Yeah nikweli mkuu
 
TCRA inabidi wamtafte aliyepost hyo video mitandaoni. Sheria ifate mkondo wake
Picha wametunza kumbukumbu tu mkuu kama ushahidi maana mtu akikufanyia ubaya hata kama umemsamehe unahitaji vielelezo kwa kuwa mbali ya dini tunaishi katika ulimwengu unaoishi kwa kufuata misingi ya sheria (maana anaweza akatoka hapo akachukua mke wa jirani na siku nyingine akachukua mtoto wa jamaa ama akatoka hapo akaanza kusambaza maneno ya kashifa kwa mwenye mke hizo picha zinabaki kama kielelezo tatizo tu hapo wachukua picha ni wengi na ndio maana video imesambaa)
 
Sasa amemuachia au amemuacha aende. Yaani na mchungaji kabisa alikuwepo kwenye fumanizi kazi ipo
 
Back
Top Bottom