Baadhi ya Watanzania wanadai eti wah.Kabaka na John Pombe Magufuli ndio mawaziri wenye majina mabaya duniani,ebu angalia listi ya mawaziri wa nchi za wenzetu halafu mlinganishe na akina Pombe na Kabaka. David Kinembe(Miundombinu-kenya),James Kakuma(Biashara -Zambia),Akaja Akatomba(Nishati-Ghana),Nalia Namboo(Sheria-Botswana),Antonie Chipumbu(Fedha -Msumbiji),Chirambo Kafirwa(Mazingira-Malawi),Rozia Kamkundu(Kilimo-Zimbwabwe),Jaqueline Natombeka(Utamaduni- S/Africa) na Kazakuku Firafisi(Mipango-Japan).Ebu fananisheni majina hayo na haya ya kwetu Tz.Byeeeee