Haya mashekh kazi kwenu........

Tan90

Member
Joined
Dec 2, 2016
Posts
11
Reaction score
2
1.Hivi mtu anaweza kuoa mtoto wa mama yake wa kambo?????
2.unawza kuoa mtoto wa bamkubwa?????
3.je anaweza kuoa mtoto wa mama Mkubwa/mdogo kwa upande wa mama.????
 
1.Hivi mtu anaweza kuoa mtoto wa mama yake wa kambo?????
2.unawza kuoa mtoto wa bamkubwa?????
3.je anaweza kuoa mtoto wa mama Mkubwa/mdogo kwa upande wa mama.????

Namba mbili na tatu inaruhusiwa Ila namba moja hairuhusiwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…