Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,440
- 1,962
Kuna njia mbalimbali ya kuonyesha upendo nyingine ni kupitia kichango. Nimesoma mahali michango iliyokusanywa so far, mpaka sasa sijaamini! Na Lisu Mungu ampe uponyaji wa haraka aje ashuhudie unafiki wa watu! Maneno mengi vitendo hamna!Hii ni ishara nyingne inayoonyesha kuwa watu wamechoshwa na maigizo ya serikali iliyowakataza wapinzani wake kufanya siasa za kitaifa hadharani badala yake viongozi wa chama tawala tu, mwenezi/polepole, mwenyekt uvccm, na mwenyekit wao mkuu wanakula keki yote kisha wanajinasibu kuwa watanzania wanawaelewa na kuwaunga mkono. Hawajui nin kitatokea sku wakiruhusu japo mkutano mmoja tu wa hadhara wa kitaifa kwa wapinzani...
Watu wako kimya ila wanakielewa kile wanachokiamini, zile kelele nyiingi za "tumuunge mkono" msidhani zina mashiko.
Mauaji au tishio la mauaji si la kwanza kutokea ktk nchi hii hata kwa mwaka huu pekee, lakini kwa nin juu ya lissu hadi watoto wamepiga kelele, wamesononeshwa na wakatoa ya moyoni. Simple answer. Lissu ni msaada kwa taifa kuliko hao wanaotaka kurasa za mbele ya magazeti ambao kwa bahati mbaya movie zao ni za kitoto mno.
Sauti hizi zimeskika zikionyesha kumhitaji lissu leo na kesho zaidi kuliko jana.
vijana wa lumumba mitandaoni wamepagawa hawaelewi imekuwaje lissu kapona na wanashuhudia laana kutoka kwa watu wa kila rika ktk taifa, vyombo vya kimataifa, nchi mbalimbali na jumuia mbalimbali. Hawajui wafanye nin, watukane au watoe pole japo kinafiki,,, wengi wakajitoa mhanga japo kinyonge kutoa pole na kulaani japo kinafiki walipoona mungu mtu wao naye kinafiki kajikongoja na tweeter kutoa pole na kulaani.
CCM MNATAKIWA KUJIFUNZA SASA KUWA UKIMYA WA MAMILIONI YA WATU WALIOKIMYA KWA SABABU YA KUOGOPA MKONO WA DOLA ONEVU UNA MAANA KUBWA SANA.
MLIDHANI KWA WIMBO WA KINAFIKI NA UTAPELI KUIMBA KUWA THE GREAT TUNDU ANTIPAS LISSU SI MZALENDO NA MSALITI KUWA WATANZANIA WATAMCHUKIA LISSU, BADALA YAKE WANAWAPUUZENI NYINYI NA MOVIES ZENU NA WAKAZIDI KUMPENDA LISSU. MMECHANGANYIKIWA KWELIKWELI
TAML MZALENDO WA KWELI.
Mungu tunakuomba umjalie uzima mwanao LISSU.
Sent using Jamii Forums mobile app