sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,276
- 976
Hbr wana JF..
Kwa kuwa hli ni jukwaa la kijamii, hvyo nadhani si vibaya kujadili swala lolote lihusiyo jamii yetu..
Leo ktk kipnd cha X X L mtangazaji binti anayejiita Dj. Fatuma au Fety amemshambulia mwanamuziki Afande Sele kwa kumuita Simba anayepakatwa, Mvuta Bangi, mchafu (rasta zake) n.k.. Swala ninalojiuliza; hawa watangazaji wamekuwa wakilaumiwa mara kwa mara kwa tabia yao ya kutumia redio kuwatukana watu wengne au kushabikia jambo flani (kivibaya) lenye influence ktk jamii..
Hawa watu wanapata wapi jeuri hii? Wanajiamini na nini, ili hali wanaowasikiliza na kuwaudh ni weng kuliko wanao'back up.. Wanashndana na jamii nzima..? Pia wanalipwa shling ngapi inayowafanya waji'risk maisha yao kwa kutukana watu ovyo.?
My take; WAJIREKEBISHE TABIA ZAO, JAMII ITAWACHOKA.
Kwa kuwa hli ni jukwaa la kijamii, hvyo nadhani si vibaya kujadili swala lolote lihusiyo jamii yetu..
Leo ktk kipnd cha X X L mtangazaji binti anayejiita Dj. Fatuma au Fety amemshambulia mwanamuziki Afande Sele kwa kumuita Simba anayepakatwa, Mvuta Bangi, mchafu (rasta zake) n.k.. Swala ninalojiuliza; hawa watangazaji wamekuwa wakilaumiwa mara kwa mara kwa tabia yao ya kutumia redio kuwatukana watu wengne au kushabikia jambo flani (kivibaya) lenye influence ktk jamii..
Hawa watu wanapata wapi jeuri hii? Wanajiamini na nini, ili hali wanaowasikiliza na kuwaudh ni weng kuliko wanao'back up.. Wanashndana na jamii nzima..? Pia wanalipwa shling ngapi inayowafanya waji'risk maisha yao kwa kutukana watu ovyo.?
My take; WAJIREKEBISHE TABIA ZAO, JAMII ITAWACHOKA.