Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 244
Wadau leo taarifa ya habari ya TBC imenichefua sana, wamemwonyesha mgombea wa ubunge Arumeru mashariki kwa tiketi ya Chadema Joshua Nassari akikosa watu kwenye mikutano yake baada ya kuwa amepangiwa mikutano kwenye shule ambapo wanafunzi walikuwa wanasoma. Ajabu ni kuwa ITV wamemwonyesha akiwa na nyomi...
My Take: Hata kama ni hujuma ndo iwe kwa style ile? si waache tu kiripoti?
Magamba bhana.
My Take: Hata kama ni hujuma ndo iwe kwa style ile? si waache tu kiripoti?
Magamba bhana.