Hawa ‘slay queens’ wa town wanatumia dawa nini?

Danielmwasi

JF-Expert Member
May 3, 2021
1,295
2,499
iko hivi mimi mchaga mgumu sana kwa cash. aisee leo nimekutana na pisi kali sana. sana sana. mzuri sana. kakamilika, (simjui)

picha linaanza.

moyo ukapata palpation kwanza kama cardiac urgency.

ishu : naonga tu, yani sijali akili ina kataa roho inakubali. na mimi sina hizo pesa. nimekuja kuwaste time tu. nashindwa kujizuia. aisee huu uchawi. pisi ni mzuri sana siwezi toa macho kwake,

town mambo mengi sana. hii sio kawaida.

natokaje hapa? wazoefu, hii dawa sio kawaida.
 
iko hivi mimi mchaga mgumu sana kwa cash. aisee leo nimekutana na pisi kali sana. sana sana. mzuri sana. kakamilika, (simjui)

picha linaanza.

moyo ukapata palpation kwanza kama cardiac urgency.

ishu : naonga tu, yani sijali akili ina kataa roho inakubali. na mimi sina hizo pesa. nimekuja kuwaste time tu. nashindwa kujizuia. aisee huu uchawi. pisi ni mzuri sana siwezi toa macho kwake,

town mambo mengi sana. hii sio kawaida.

natokaje hapa? wazoefu, hii dawa sio kawaida.
Amke uende kusali.Acha imani mbovu.
 
Back
Top Bottom