Hawa ndio waliofilisi rasilimali za Same

Hawa ndio waliofilisi rasilimali za Same

NDANGA

Member
Joined
May 19, 2014
Posts
53
Reaction score
27
Wakuu naomba tusaidieane kuwa hawa viongozi wetu wanamategemeo gani kuhusu Msitu wa Shengena wenye rasilimali nyingi hivi?

Mbunge wa Jimbo la Same Magharibi, David Mathayo na Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki, Anna Kilango Malechela, huku wajijua wazi na kuamua kimakusudi kuruhusu uharibifu wa Shengena ambao ndio uti wa mgongo wa wakazi wao kwa kuwa vyanzo vyote vya maji huanzia katika msitu huo lakin bila huruma wameruhusu uchimbaji wa udongo
mwekundu ndani ya hifadhi ya msitu huo.



attachment.php
attachment.php


Huku wakijua tumeishi kwa ustawi hata bila ya uchimbaj wa bauxite na cha ajab zaidi mwekezaj huyo ni ndugu wa karibu wa Mbunge mmojawapo hapo!

Udongo huo ni mchanganyiko wa dhahabu kwa vielelezo vya Mkemia Mkuu wa Serikal huku wao wakichukua kodi ya udongo badala ya dhahabu.

Uharibifu huu umeleta athari kubwa sana ya mazingira hasa upungufu wa maji na ugumu wa maisha kwa wananch, hili halikubaliki na halivumiliki na inabidi tutakutana wadau wenye nia ya kuwasaidia wapare wenzangu Dar es Salaam tujadil hili nakutoa tamko na mikakati ili kunusuru rasilimali zetu kwa mustakabal wetu na vizaz vijavyo.

Naomba tushikamane kwa maendeleo yetu.

 

Attachments

  • Kilango.jpg
    Kilango.jpg
    19 KB · Views: 975
  • David.jpg
    David.jpg
    49.8 KB · Views: 1,056
Si mumewachagua wenyewe na mtawachagua tena,sijui kile kiwanda(?) cha tangawizi ambacho mh Anne alikuwa akitupigia kelele kila siku kimeishia wapi mkuu,maake hatusikia tena kama tayari kinafannya kazi na ufanisi wake wa kuwakomboa kiuchumi hao wananchi wake
 
Huyu maza hawamtaki kabisa jimboni kwake, ila ni shujaa wa kutumia nguvu za giza, ngoja tuone kama zitamsaidia uchaguzi huu mkuu.
 
This what happening at Shengena Forest Reserve, Shengena forest at the spoils heaps.Willy Enterprises is a killer of birds, wild animals, people, catchment areas, no water at the rivers for irrigation schemesand as other so many not for the national interest but for his personal interest NDANGA said. Let we blame and shout to stop bauxite mining taking place within our home land let come together to fight for majority interes.

attachment.php

Nahisi hali itakuwa mbaya zaidi kwasababu hizi picha ni za mwaka 20013



attachment.php


Poleni sana.
 

Attachments

  • Willy.jpg
    Willy.jpg
    24.8 KB · Views: 719
  • Chome.jpg
    Chome.jpg
    75.8 KB · Views: 707
Si mumewachagua wenyewe na mtawachagua tena,sijui kile kiwanda(?) cha tangawizi ambacho mh Anne alikuwa akitupigia kelele kila siku kimeishia wapi mkuu,maake hatusikia tena kama tayari kinafannya kazi na ufanisi wake wa kuwakomboa kiuchumi hao wananchi wake

Juzi Kinana alikuwa Bumbuli huko Lushoto na kati ya mambo muhimu aliyoyafanya ni "kuwahakikishia" wananchi kwamba kiwanda chao cha chai kitarudi mikononi mwao na aliiagiza Serikali kuhakikisha hilo linafanyika haraka iwezekanavyo. Nahisi ziara itakayofuata ni ya "kiwanda cha tangawizi" huko Upareni. Maigizo hayaishi nchi hii.
 
Yeyoote anayejitokeza kugombea Ubunge Same Mashariki na Magharibi bila kuwahakikisha kuondoa tatizo hilo msimchague huku kwetu Mara napo ni majanga tu, sasa hivi tumepanga kuandikishiana kumaliza tatizo hili bila hivyo hakuna kupata kura.
 
Juzi Kinana alikuwa Bumbuli huko Lushoto na kati ya mambo muhimu aliyoyafanya ni "kuwahakikishia" wananchi kwamba kiwanda chao cha chai kitarudi mikononi mwao na aliiagiza Serikali kuhakikisha hilo linafanyika haraka iwezekanavyo. Nahisi ziara itakayofuata ni ya "kiwanda cha tangawizi" huko Upareni. Maigizo hayaishi nchi hii.
Na wakampigia makofi,huko Njombe,kada wa CCM kawaingiza mkenge watu wa Lupembe kanunua kiwanda cha chai kwa ujanja ujanjanahadi msitukaukomba hicho kiwanda kilikuwa ni cha wakulima wa Lupembe,na nadhanihata hicho kwa Makamba nachokinamilikiwa na huyohuyo jamaa,sasa kama Mbunge ambaye ni waziri January Makamba kashindwa kuwasaidia wananchi wake huyu Kinana ndio nani ?au kuwa katibu mkuu wa CCM kunampa mamlaka bandia ya kutoa maamuzi?kwa sasa mwenye maamuzi nchi hii ni raisi peke yake,na hata yeye maamuzi yake mengi yanapuuzwasembuse Kinana,ambaye tuko sawa tu naye,hajapigiwa kura popote zaidi ya kuteuliwa na Kikwete.
 
Back
Top Bottom